Diploma in special education

Diploma in special education

Samuel 22

New Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Naomba kujua kwa mtu aliesoma certificate ya ualim elim ya awali anaweza kusoma diploma ya elim maalum na ni kwa miaka mingap form 4 na divison 3 (C 5 D 4)
 
Chuo kinachotoa Certificate na Diploma ya Elimu Maalumu ni chuo Cha Patandi tu kilichopo Arusha. Wasiliana nao wakupe maelekezo kwa sababu hua sifa na vigezo vinabadilika.

Simu ya Mkuu wa Chuo 0767-275920 / 0716-767380
Simu ya Msajili 0689 517171/ 0752355526
Simu ya Mtaaluma 0755-640517/0624-130402
 
Naomba kujua kwa mtu aliesoma certificate ya ualim elim ya awali anaweza kusoma diploma ya elim maalum na ni kwa miaka mingap form 4 na divison 3 (C 5 D 4)
anaweza kusoma bila shaka mkuu. ila inapatikana patandi tu
 
Back
Top Bottom