S spleen JF-Expert Member Joined Apr 24, 2013 Posts 4,079 Reaction score 6,788 Jul 7, 2013 #21 [QUOTE said: Shabby kng;6753920]kwel aisee we umenena achana na wengne kaz kuponda uskute ni waalimu ndo maana wanadis Click to expand... [/QUOTE] Umewastukia eeh alafu hawachelewi kuja na threads za eti mishahara ya walimu imeongezeka hadi laki nane kwa graduate,mi huwa nachekaga tu
[QUOTE said: Shabby kng;6753920]kwel aisee we umenena achana na wengne kaz kuponda uskute ni waalimu ndo maana wanadis Click to expand... [/QUOTE] Umewastukia eeh alafu hawachelewi kuja na threads za eti mishahara ya walimu imeongezeka hadi laki nane kwa graduate,mi huwa nachekaga tu
HMJ Senior Member Joined Apr 24, 2013 Posts 157 Reaction score 21 Jul 7, 2013 #22 Aisee mi ndio maana naipenda jf napata maujanja ya kutosha humu mmnh haya kaz kwenu wakubwa...