Diplomasia ya Kiuchumi kati ya Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefeli?

Diplomasia ya Kiuchumi kati ya Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imefeli?

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Matukio wa wawekezaji wa sekta ya usafiri na kugavi, malori yao kukwama DR Congo yatamalizwa lini? Au diplomasia yetu ya kiuchumi ni kwa ajili ya nchi za mbali kama China, India, Mashariki ya kati na wala siyo na majirani zetu.

17 October 2023
MALORI ZAIDI YA 200 YAKWAMA NCHINI CONGO DRC KWA SIKU 40, WAMILIKI WACHARUKA, WAIOMBA SERIKALI YA TANZANIA KUINGILIA KATI

 
Matukio wa wawekezaji wa sekta ya usafiri na kugavi, malori yao kukwama DR Congo yatamalizwa lini? Au diplomasia yetu ya kiuchumi ni kwa ajili ya nchi za mbali kama China, India, Mashariki ya kati na wala siyo na majirani zetu...
Hakuna lolote la kufurahisha hapa, kama isivyofurahisha kuona mradi wa SGR ukihujumiwa na serikali hiyo hiyo wanayoiita wao ni "serikali sikivu."
 
Muonekano wa operasheni ya bandari ya Dar es Salaam unakupa picha ikiwa diplomasia ya kiuchumi na nchi jirani zetu ikifeli inaweza kuzuia mizigo pia mapato kwa bandari ya Dar es Salaam


View: https://m.youtube.com/watch?v=33YoGgmXSc0

Tujiulize malori toka Durban South Africa kwenda Lubumbashi, Kolwezi n.k DR Congo hayapati kashikashi hizi zipi malori kutoka Tanzania yapate changamoto
 
Back
Top Bottom