Diplomatic Shift: U.S. and Europe Support Territorial Sacrifices to End Ukraine-Russia War

Diplomatic Shift: U.S. and Europe Support Territorial Sacrifices to End Ukraine-Russia War

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
:
Viongozi wa Marekani na Ulaya wamekubaliana kwamba Ukraine itahitaji kuachilia baadhi ya maeneoya ardhi yake ili kumaliza vita na Urusi, hii ni kulingana na taarifa ya gazeti la The Washington Post.

Chanzo hicho kinasema kwamba maafisa wa Marekani wanadhani kwamba, katika miezi michache ijayo, Ukraine itahitaji kuanza mazungumzo ya ano na Urusi ili kumaliza mzozo huo.

Gazeti hilo pia linasema kwamba serikali ya Biden inajiandaa na uwezekano mkubwa wa utawala mpya wa Donald Trump amabo unaweza kusitisha misaada ya Marekani kwa Ukraine pale tu atakaporudi madarakani.

Mashaka hayo yanaulazimu utawala wa sasa wa Marekani na washirika wake wa NATO kuharakisha kuisaidia Ukraine kabla ya Donald Trump ajarudi ikulu White House.
:
:
U.S. and European leaders have agreed that Ukraine will need to give up some land to end the war with Russia, according to The Washington Post.

Sources say U.S. officials believe that, in a few months, Ukraine will have to start talking with Russia to make peace.

The newspaper also says that President Biden's team is preparing for the possibility that Donald Trump could stop U.S. aid to Ukraine if he returns to office.
Because of this, the current U.S. administration and its NATO allies are working hard to support Ukraine before Trump possibly comes back to the White House.
IMG_20240608_072618.jpg
 
Mashaka hayo yanaulazimu utawala wa sasa wa Marekani na washirika wake wa NATO kuharakisha kuisaidia Ukraine kabla ya Donald Trump ajarudi ikulu White House
Sasa kama wameshindwa kuisaidia Ukreni kwa almost miaka 4 sasa, wataweza kweli kwa kipindi cha wiki 4 zilizosalia? Wanaosemaga Wazungu wana akili, nadhani nao wachunguzwe akili.

NB: kp kipanya44 lazima atakuwa amelia sana kutwa nzima leo kufuatia habari hii mbaya kwao. Anapenda vita yule jamaa - hata kama anabondwa, yeye yumo tu!
 
sasa kama wameshindwa kuisaidia Ukreni kwa almost miaka 4 sasa, wataweza kweli kwa kipindi cha wiki 4 zilizosalia? Wanaosemaga Wazungu wana akili, nadhani nao wachunguzwe akili.

NB: kp kipanya44 lazima atakuwa amelia sana kutwa nzima leo kufuatia habari hii mbaya kwao. Anapenda vita yule jamaa - hata kama anabondwa, yeye yumo tu!
Hili nalo neno.
 
Watu wanazidi kuongeza maeneo wao wanaleta uchizi,wanachokiogopa Nato ni kwamba Ukraine ikiyaachia hayo maeneo Russia atajiimarisha zaidi kijeshi kwenye hayo maeneo then wakianzisha tena vita Russia atamega tena maeneo yaani mwisho wa siku wako mpaka na poland.Yaani kama unavyoliwa mkate wa Boflo ile ya Zanzibar,unamega kidogo unachovya kwenye chai mpaka unaisha 😁😁😁😁😁😁😁
 
Wazungu mapunguani sanaa, kuzidi Afrika. Afrika tukiacha Ukabila, Rushwa, Uzinzi na Ushirikina na tukaachana na Uzazi wa Mpango, tunaenda kuitawala Dunia.
Kwa akili hizi hizi tulizo nazo? Hili la uzinzi nadhani wanaume wote bila kujali race is like tunafanana tu. Donald Trump anazo scandal za kula kimasihara, Clinton alikua anagonga binti wa Kiyahudi, Putin hajawahi kuoa lakini inasemekana hata yeye Chura anapenda, Bill Gates nae alikuaga na kamchepuko and the list goes on. Black people hatuna akili tu. Tunaiba nyumbani then tunakwenda kificha nje; stupid
 
sasa kama wameshindwa kuisaidia Ukreni kwa almost miaka 4 sasa, wataweza kweli kwa kipindi cha wiki 4 zilizosalia? Wanaosemaga Wazungu wana akili, nadhani nao wachunguzwe akili.

NB: kp kipanya44 lazima atakuwa amelia sana kutwa nzima leo kufuatia habari hii mbaya kwao. Anapenda vita yule jamaa - hata kama anabondwa, yeye yumo tu!
Dah umeongea pointi kubwa sana ambayo kwa kweli Mimi sikuiwaza.
Kama walishindwa kuisaidia Ukraine Kwa miaka minne je wataweza Kwa wiki nne?
Point kubwa sana hii.
 
Wazungu mapunguani sanaa, kuzidi Afrika. Afrika tukiacha Ukabila, Rushwa, Uzinzi na Ushirikina na tukaachana na Uzazi wa Mpango, tunaenda kuitawala Dunia.
Ila nahisi wazungu wajinga ni wale wanaotokq Magharibi mwa Dunia.

Haiwezwkani mtu akaoa Mbwa na wenzake wakamtazama TU.
Haiwezwkani mwanaume akaoa mwanaume mwenzake na watu wakamwangalia TU,
Hiwezekani mtu akabadili jinsia na watu wakamwangalia TU,
Kisa haki za binadamu.
Huu ujinga huwezi ukaukuta kwa nchi za mashariki na kusini mwa Dunia.
 
Ulaya ni nchi za kiliberali,,,akili ndogo ya kiliberali haiwezi kutatua changamoto kubwa Zaidi ya kueneza ushoga,, diplomacy na feminism....Mwangalie macron,,borrel na Yule takataka fiducia supplicant....ni vijitu dhaifu na pumbaf kabisa...
 
Dah umeongea pointi kubwa sana ambayo kwa kweli Mimi sikuiwaza.
Kama walishindwa kuisaidia Ukraine Kwa miaka minne je wataweza Kwa wiki nne?
Point kubwa sana hii.
Ni miwili kuelekea mitatu sio minne.
 
Back
Top Bottom