autorun255
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,105
- 364
Najua wengi tutakuwa tumefuatilia yaliyojili ndani ya bunge la katiba.
Imekuwa ni siku moja tu lakini nimejionea mengi kutoka kwa wajumbe wateule.
1. MAHUDHURIO
Bunge lilianza kwa kuwepo viti vingi vikiwa wazi.
2. UCHELEWAJI KWENYE VIKAO
Ni pale kulipotokea kuzidi kura zilizopigwa kuliko idadi ya wabunge waliohesabiwa. Yawezekana kuna waliochelewa kuingia bungeni.
3. NIDHAMU
Utadhani hawakupatiwa semina namna ya shughuli za kibunge zinavyoendeshwa. Wajumbe wanalopoka lopoka hovyo.....
Hapa imekaaje hii au ndo wamejifunza kutoka kwa wabunge teule....
Vile vile kutoheshimu kiti.
4. KUKOSA UVUMILIVU
Walipo elezwa kurudiwa shughuli ya kupiga kura......hapo sasaaa
Maoni mengi yalikuwa kuharakisha zoezi liishe kila mjumbe akuchukue 300000 faaaasta. Hiki ni kiashilia jinsi mchakato utakavyokuwa hapo mbeleni kwenye vifungu na ibara kuharakishwa kupitishwa ili muradi tu siku iishe.
Nnavyoona mimi , Kama hali yenyewe ndo hii , sidhan tutapata katiba bora .
Je tutaipata katiba tunayoitarajia??????
Imekuwa ni siku moja tu lakini nimejionea mengi kutoka kwa wajumbe wateule.
1. MAHUDHURIO
Bunge lilianza kwa kuwepo viti vingi vikiwa wazi.
2. UCHELEWAJI KWENYE VIKAO
Ni pale kulipotokea kuzidi kura zilizopigwa kuliko idadi ya wabunge waliohesabiwa. Yawezekana kuna waliochelewa kuingia bungeni.
3. NIDHAMU
Utadhani hawakupatiwa semina namna ya shughuli za kibunge zinavyoendeshwa. Wajumbe wanalopoka lopoka hovyo.....
Hapa imekaaje hii au ndo wamejifunza kutoka kwa wabunge teule....
Vile vile kutoheshimu kiti.
4. KUKOSA UVUMILIVU
Walipo elezwa kurudiwa shughuli ya kupiga kura......hapo sasaaa
Maoni mengi yalikuwa kuharakisha zoezi liishe kila mjumbe akuchukue 300000 faaaasta. Hiki ni kiashilia jinsi mchakato utakavyokuwa hapo mbeleni kwenye vifungu na ibara kuharakishwa kupitishwa ili muradi tu siku iishe.
Nnavyoona mimi , Kama hali yenyewe ndo hii , sidhan tutapata katiba bora .
Je tutaipata katiba tunayoitarajia??????