Director Hanscana na Kenny wa zoom production pongezi kwao wanaitendea haki kazi yao......

Director Hanscana na Kenny wa zoom production pongezi kwao wanaitendea haki kazi yao......

sir venance

Senior Member
Joined
Oct 26, 2017
Posts
151
Reaction score
223
Wakati mwingine inabidi umsifie mtu kutokana na ubora wa kazi anayoifanya hata kabla hajafa..Hawa watu Kenny na Hanscana wanajitahidi sana katika kutengeneza music videos za bongo fleva kwa sasa, zamani tulikua na watu kama Adam juma na wengine ambao japo videos zao hazikuwa na quality zinazoeleweka ila walijitahidi kutokana na teknolojia iliyokuwepo,Sasa hivi tukiziangalia videos za muziki wa Tanzania tunaona utofauti kuanzia quality ya videos,story na ubunifu mwingine ambao unafanya videos zao ziwe nzuri,japo maeneo mengine mnaharibu kama kuweka rangi tofauti ktk kila eneo la video lakini kwingine mnajitahidi,angalau Sasa hivi tumewasahau watu kama Justin Campos, Godfather,sesan,Nick, Clarence peters,Moe mussa na wengine wengi ambao walikua wanafanya kazi nyingi za wanamuziki wa Tanzania,nchi yetu ina location nyingi nzuri kilichokua kinawapeleka wasanii huko nje ni quality, ubunifu na majina makubwa ya ma director wa nje lakini naamini hilo mmelifanyia kazi.
 
Kiukweli Kenny anajua sana yule jamaa.. hanscana nae ni fire ila hajasomea popote
 
kenny ni namba 1 kwa sasa TZ na hakuna anaemkaribia


I AM SINA JAMBO
 
NAJUA ILA NIMEJARIBU TU KUTOA MTAZAMO WANGU HAO WOTE WAWILI WAZURI ILA TATIZO KWENYE RANGI
 
Ila Kenny akiendelea hivi atakuwa mbali sana ktk hii tasnia
 
Wanajitahidi sana japo kuna mapungufu kadhaa.
1 rangi zinakuwa nyingi sana kwenye video mpaka zinapunguza uhalisia wa video.
2 HANSCANA video zake nyingi zinafanana colour karibu zote na hiyo common colour anayotumia kwenye video sometime inablurr visibility ya actors ndani ya video na kuondoa true colour ya wahusika kwenye video
3 sometimes mavazi yanatumika kwenye video yanafanana kwa kila Kitu mpaka visikizo

Kwa mambo mengine kama mtazamaji wa video navutiwa na video zao na huwa naziangalia Mara kwa Mara mpaka naweza kujua director wa video kwa kuangalia colour ya video tu.
Kuna KWETU STUDIO wanajitahidi pia pamoja na Dr Eddy etc ila kwangu mimi.
List yangu ingeanza na
1 kwetu studio
2 Hanscana
3 Kenny
4 Dr eddy
5 TB
Etc
 
Wanajitahidi sana japo kuna mapungufu kadhaa.
1 rangi zinakuwa nyingi sana kwenye video mpaka zinapunguza uhalisia wa video.
2 HANSCANA video zake nyingi zinafanana colour karibu zote na hiyo common colour anayotumia kwenye video sometime inablurr visibility ya actors ndani ya video na kuondoa true colour ya wahusika kwenye video
3 sometimes mavazi yanatumika kwenye video yanafanana kwa kila Kitu mpaka visikizo

Kwa mambo mengine kama mtazamaji wa video navutiwa na video zao na huwa naziangalia Mara kwa Mara mpaka naweza kujua director wa video kwa kuangalia colour ya video tu.
Kuna KWETU STUDIO wanajitahidi pia pamoja na Dr Eddy etc ila kwangu mimi.
List yangu ingeanza na
1 kwetu studio
2 Hanscana
3 Kenny
4 Dr eddy
5 TB
Etc
Upo sawa ila kuna huyu wakuitwa Creator pro kama cjakosea yupo vizuri ila anachobugi habadiliki ktk muonekano wa videos zake rangi zake nazo huwa zilezile
 
Back
Top Bottom