Director Hanscana na Kenny wa zoom production pongezi kwao wanaitendea haki kazi yao......

Adam juma bado ni mkali sana .. matangazo mengi ya mitandao ya simu wanamtumia yeye pia hata kule rwanda ana tenders za matangazo tangu kitambo alishaanza kutoka kimataifa .
 
Hii video ya lavalava nikupe nini. hanscana kaua kinoma
 
mimi namkubali sana travellor wa kwetu studio..

hana mbwembwe ila kazi huwa haaribu..

kenny nae mkali sana sababu ya WCB sio wabahili.. na wanajua wanachotaka.. so video inakuwa na ushauri mzuri sana wa wenye video
 
Hivi Hans cana elimu yake ya video production kaipatia wapi au ndo born in town..
hanscana ni zao la yule mtoto wa kishua bishoo wa chuga DIRECTOR NISHER

baada ya kupata maujanja kwa nisher akachomoka yeye na mwenzake khalfan wakaanza kujitegemea

ililetaga ugomvi mkubwa sana na nisher maana dogo alisepa na wateja kama wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…