Director Kenny: Kijana aliyesimamisha safari za Diamond South

Kwa hili Umegoma kua Msukule umeongea Ukweli.
 
Adam the best
Kenny yuko vizuri
Hanscana yuko vizuri

Hawa ni lulu Tanzania

Wengi sana wazuri wanakuja miaka 3 ijayo tutakuwa na wafalme wengine
 
Reactions: amu
Adam the best
Kenny yuko vizuri
Hanscana yuko vizuri

Hawa ni lulu Tanzania

Wengi sana wazuri wanakuja miaka 3 ijayo tutakuwa na wafalme wengine
Kiukwel Adam yupo vizur Sana , idea zake zipo pouw yaan unavutiwa kuangalia , unaona kabisa video ina relate na idea ya wimbo , hawa wengine ni ubora wa camera tuu , Kenny kuna wakat anakuwa vizur zingine anapwaya tuu hata hanscana vile vile , yaan kuna wakat unachek video lakn picha hazileti maana ya wimbo
 
Reactions: amu
Anabebwa tu na ukubwa wa diamond lakn hana chochote

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe anaitwa KENEDY SANGA, Mkinga wa makete, sina shaka na maendeleo yake ya haraka haraka, wakinga wanajulikana
 
Mkuu nadhani Kenny Anaonekana ni bora kwa sababu ya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya zoom production,jamaa zoom wanavifaa bora sana vya kushoot video,kwa hapa tz hakuna wa kuwagusa. Pia huyu Mkinga wa Makete Kenny amepikwa na hanscana Kwa hyo ni mwanafunzi wa hanscana,japo na yeye anakipaji ndio,lakini bado hanscana ni master wa Kenny na kinachombeba huyo mkinga Kenny na kumuweka sawa au juu ya hanscana ni ubora wa vifaa. KWA hIYO wisho wa siku tukilinganisha ubora wa producer na si kampuni basi hapo hanscana anashinda ila tukizungumzia kampuni gani inatoa products kali kutokana na ubora wa vifaa basi zoom ikiongozwa na Kenny inashinda.
 
Hiyo video ya unanikosha nakwambia ni hatari hata c breezy, au lil wayne lazima asimame mbele ya kamera.. Nakuambia hakutakuja kuwa na video kali kama ile
 
Yaani kila anàyefanya kazi na Domo au kuwa karibu naye lazma ataengeneze brand ya maana
Si bodi gadi, mpiga picha, màvazi. Producer, dancer, dj, kinyozi, wambea wa insta, shemeji nk nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…