Kwa hili Umegoma kua Msukule umeongea Ukweli.Mpe heshima yake Adam pamoja alikuwa na vifaa vya kawaida lkn alikuwa anatoa video kali ,director pekee aliyewafanya wanamziki wa kitanzania kushinda tuzo za kimataifa (Channel O Nature,Witness,Cpwaa) kupitia ubunifu wake.
Still mpaka sasa yupo vizuri kuliko Kenny,kaitizame video ya Mario Unanikosha,alafu fananisha na za madirector wengine.
😀😀😀Kwa hili Umegoma kua Msukule umeongea Ukweli.
Adam the bestKennedy sanga maarufu director Kenny moja ya video director wakubwa hapa east Afrika na director namba moja wa Diamond Platnumz
Kitaaluma ni fundi umeme.Alianza mambo ya video kama mmoja wa wasaidizi wa director hanscana.
Video ya kwanza kuifanya ilikuwa ni dede ambayo anasema alifanya bure na ndiyo iliyompa connection na WCB kwani mara baada ya Diamond kuiona aliipenda na kuamua kufanya naye kazi.
Last year alishinda tuzo ya afrimma kama best director in Africa kupitia wimbo wa tetema wa rayvanny na Diamond Platnumz.
Kuibuka kwake katika tasnia ya burudani nchini kumekuwa kama daudi kupewa ufalme yaani from no where to work with great artist in Africa anasema siri ya yote ni maombi.
Tofauti ya Diamond na media na wasanii mbalimbali inaonekana kumuathiri na yeye ndo maana amekuwa akifanya kazi nyingi za WCB tu licha ya kufanya vizuri nchini kwa sasa japo anasema anaweza kufanya kazi na msanii yeyote.
Pia maadui wa Diamond wamekuwa mstari wa mbele katika kukosoa na kutafuta makosa tu katika video zake kwani mti wenye matunda ndio ambao hupigwa mawe . ukweli ni kwamba hakuna kitu kipya na si kwamba director wengine hawatumii idea nyingine ila ile kufanya kazi na Diamond imemlennnnntea upinzani wa moja kwa mojakwa wasio mashabiki wa Diamond.
Pamoja na yote hayo,he keep growing up kwani amehusika katika highly watched music videos in East and central Africa kama vile hope remix,inama,sikomi,kwa ngaru , tetema,n.k
My take; keep working guy .we appreciate what you are doing Kenny
Sorry heading is"director Kenny: kijana aliyesimamisha safari za mondi south"
Nimejaribu badilisha imegomaView attachment 1472377
Bongo kuna wachawi wengi sana
utakufa masikini nakutabiria ukiendelea kua na roho ya kichawi kwa mafanikio ya wengine pole sana dogoWewe ni mchawi pia, umefuata nini hapa? Mshana Jr ebu njoo umchukue huyu msukul wako tafadhali
Kiukwel Adam yupo vizur Sana , idea zake zipo pouw yaan unavutiwa kuangalia , unaona kabisa video ina relate na idea ya wimbo , hawa wengine ni ubora wa camera tuu , Kenny kuna wakat anakuwa vizur zingine anapwaya tuu hata hanscana vile vile , yaan kuna wakat unachek video lakn picha hazileti maana ya wimboAdam the best
Kenny yuko vizuri
Hanscana yuko vizuri
Hawa ni lulu Tanzania
Wengi sana wazuri wanakuja miaka 3 ijayo tutakuwa na wafalme wengine
Anabebwa tu na ukubwa wa diamond lakn hana chochoteKennedy sanga maarufu director Kenny moja ya video director wakubwa hapa east Afrika na director namba moja wa Diamond Platnumz
Kitaaluma ni fundi umeme.Alianza mambo ya video kama mmoja wa wasaidizi wa director hanscana.
Video ya kwanza kuifanya ilikuwa ni dede ambayo anasema alifanya bure na ndiyo iliyompa connection na WCB kwani mara baada ya Diamond kuiona aliipenda na kuamua kufanya naye kazi.
Last year alishinda tuzo ya afrimma kama best director in Africa kupitia wimbo wa tetema wa rayvanny na Diamond Platnumz.
Kuibuka kwake katika tasnia ya burudani nchini kumekuwa kama daudi kupewa ufalme yaani from no where to work with great artist in Africa anasema siri ya yote ni maombi.
Tofauti ya Diamond na media na wasanii mbalimbali inaonekana kumuathiri na yeye ndo maana amekuwa akifanya kazi nyingi za WCB tu licha ya kufanya vizuri nchini kwa sasa japo anasema anaweza kufanya kazi na msanii yeyote.
Pia maadui wa Diamond wamekuwa mstari wa mbele katika kukosoa na kutafuta makosa tu katika video zake kwani mti wenye matunda ndio ambao hupigwa mawe . ukweli ni kwamba hakuna kitu kipya na si kwamba director wengine hawatumii idea nyingine ila ile kufanya kazi na Diamond imemlennnnntea upinzani wa moja kwa mojakwa wasio mashabiki wa Diamond.
Pamoja na yote hayo,he keep growing up kwani amehusika katika highly watched music videos in East and central Africa kama vile hope remix,inama,sikomi,kwa ngaru , tetema,n.k
My take; keep working guy .we appreciate what you are doing Kenny
Sorry heading is"director Kenny: kijana aliyesimamisha safari za mondi south"
Nimejaribu badilisha imegomaView attachment 1472377
Kumbe anaitwa KENEDY SANGA, Mkinga wa makete, sina shaka na maendeleo yake ya haraka haraka, wakinga wanajulikanaKennedy sanga maarufu director Kenny moja ya video director wakubwa hapa east Afrika na director namba moja wa Diamond Platnumz
Kitaaluma ni fundi umeme.Alianza mambo ya video kama mmoja wa wasaidizi wa director hanscana.
Video ya kwanza kuifanya ilikuwa ni dede ambayo anasema alifanya bure na ndiyo iliyompa connection na WCB kwani mara baada ya Diamond kuiona aliipenda na kuamua kufanya naye kazi.
Last year alishinda tuzo ya afrimma kama best director in Africa kupitia wimbo wa tetema wa rayvanny na Diamond Platnumz.
Kuibuka kwake katika tasnia ya burudani nchini kumekuwa kama daudi kupewa ufalme yaani from no where to work with great artist in Africa anasema siri ya yote ni maombi.
Tofauti ya Diamond na media na wasanii mbalimbali inaonekana kumuathiri na yeye ndo maana amekuwa akifanya kazi nyingi za WCB tu licha ya kufanya vizuri nchini kwa sasa japo anasema anaweza kufanya kazi na msanii yeyote.
Pia maadui wa Diamond wamekuwa mstari wa mbele katika kukosoa na kutafuta makosa tu katika video zake kwani mti wenye matunda ndio ambao hupigwa mawe . ukweli ni kwamba hakuna kitu kipya na si kwamba director wengine hawatumii idea nyingine ila ile kufanya kazi na Diamond imemlennnnntea upinzani wa moja kwa mojakwa wasio mashabiki wa Diamond.
Pamoja na yote hayo,he keep growing up kwani amehusika katika highly watched music videos in East and central Africa kama vile hope remix,inama,sikomi,kwa ngaru , tetema,n.k
My take; keep working guy .we appreciate what you are doing Kenny
Sorry heading is"director Kenny: kijana aliyesimamisha safari za mondi south"
Nimejaribu badilisha imegomaView attachment 1472377
Mkuu ma director wa msimu hakuna alie bora zaidi ya mwenzake ila kuna zama , tuseme hizi ni zama za KennyAdam the best
Kenny yuko vizuri
Hanscana yuko vizuri
Hawa ni lulu Tanzania
Wengi sana wazuri wanakuja miaka 3 ijayo tutakuwa na wafalme wengine
Mkuu nadhani Kenny Anaonekana ni bora kwa sababu ya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya zoom production,jamaa zoom wanavifaa bora sana vya kushoot video,kwa hapa tz hakuna wa kuwagusa. Pia huyu Mkinga wa Makete Kenny amepikwa na hanscana Kwa hyo ni mwanafunzi wa hanscana,japo na yeye anakipaji ndio,lakini bado hanscana ni master wa Kenny na kinachombeba huyo mkinga Kenny na kumuweka sawa au juu ya hanscana ni ubora wa vifaa. KWA hIYO wisho wa siku tukilinganisha ubora wa producer na si kampuni basi hapo hanscana anashinda ila tukizungumzia kampuni gani inatoa products kali kutokana na ubora wa vifaa basi zoom ikiongozwa na Kenny inashinda.Kiukwel Adam yupo vizur Sana , idea zake zipo pouw yaan unavutiwa kuangalia , unaona kabisa video ina relate na idea ya wimbo , hawa wengine ni ubora wa camera tuu , Kenny kuna wakat anakuwa vizur zingine anapwaya tuu hata hanscana vile vile , yaan kuna wakat unachek video lakn picha hazileti maana ya wimbo
Hiyo video ya unanikosha nakwambia ni hatari hata c breezy, au lil wayne lazima asimame mbele ya kamera.. Nakuambia hakutakuja kuwa na video kali kama ileMpe heshima yake Adam pamoja alikuwa na vifaa vya kawaida lkn alikuwa anatoa video kali ,director pekee aliyewafanya wanamziki wa kitanzania kushinda tuzo za kimataifa (Channel O Nature,Witness,Cpwaa) kupitia ubunifu wake.
Still mpaka sasa yupo vizuri kuliko Kenny,kaitizame video ya Mario Unanikosha,alafu fananisha na za madirector wengine.
What the https://jamii.app/JFUserGuide are you doing in here man (in snoppy dog voice)How does this concern us?
Hello, my name is kenny! Can I have your number?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yes Kenny my number is 084356276