Director Kenny: Kijana aliyesimamisha safari za Diamond South

Hiyo video ya unanikosha nakwambia ni hatari hata c breezy, au lil wayne lazima asimame mbele ya kamera.. Nakuambia hakutakuja kuwa na video kali kama ile
Nimeichungulia kichupa ni faya kwa kweli.
 
Adam juma ndo kafiafia kabsa

Jamaa alikua anawatukana wasanii
Mpaka unawaonea huruma[emoji3][emoji3]
Mkuu tupe nyepe nyepe...msanii gani alitukanwa live live,sisi wengine umbea tunapigia humu humu ukitukuta maofisini kama sio sisi.
 
Ndo maana nasema nafasi bado wanayo, wanachokifanya ni biashara kama ilivyo biashara nyingine inayohitaji kutafuta wateja wapya (kama wale wa zamani wote hawapo). Kwani producers wote wa zamani walikuwa na matatizo kama hayo ya kujiskia kulikopilitiliza, kutukana wasanii na kuwapiga makofi? Nadhani sio kweli, baadhi wamekosa ubunifu wa biashara yao kuvutia wateja wapya au kubaki na wale wa zamani.
Dunia haipo hapa kumsubiri yeye tu.

Wa mifano yake tunao kina P Funk Majani, walikuwa wana jeuri ya kutukana wasanii na kuwazaba vibao.... sio kama hawana ubora ila leo nani anawakimbilia.?
 
Video ya Marioo - inatosha naona ni the best.. storyline, shots, colour ,character na vingine vingi ni epic

New directors waongeze ubunifu tu maana video zao zinafanana sana
 

Hawa directors asee.
Mimi katika video directors niliowakubali ni Nisher ila alikaa muda mfupi sana na nahisi kukaa chuga, kukimbiwa na weusi na hata ile kutokuwa na njaa pia ilichangia
 
Yaani kila anàyefanya kazi na Domo au kuwa karibu naye lazma ataengeneze brand ya maana
Si bodi gadi, mpiga picha, màvazi. Producer, dancer, dj, kinyozi, wambea wa insta, shemeji nk nk

Diamond ana nyota kali sana.. mpaka kusaga akaamua kuanzisha media na kumpa shea asilimia 45 ili tu aibebe media ipate wasikilizaji fasta. Na kafanikiwa hilo
 
Yes nisher was good at it. Nilimkubali pia wakati huo.
Hawa directors asee.
Mimi katika video directors niliowakubali ni Nisher ila alikaa muda mfupi sana na nahisi kukaa chuga, kukimbiwa na weusi na hata ile kutokuwa na njaa pia ilichangia
 
Diamond ana nyota kali sana.. mpaka kusaga akaamua kuanzisha media na kumpa shea asilimia 45 ili tu aibebe media ipate wasikilizaji fasta. Na kafanikiwa hilo

Eti Kusaga alimpa, kinabo wewe!
 
Eti Kusaga alimpa, kinabo wewe!

Unafikiri kusaga ama diamond nani kamfata mwenzake kumuomba washirikiane wagawane shea

Bila diamond unafikiri media ingepata wasikilizaji hiyo haraka haraka ama tungeijua?
 
Unafikiri kusaga ama diamond nani kamfata mwenzake kumuomba washirikiane wagawane shea

Bila diamond unafikiri media ingepata wasikilizaji hiyo haraka haraka ama tungeijua?
FRESHMAN Diamondplatnumz ndio aliyemfuata kusaga na Diamond ndio founder ya wasafi media yeye akawekeza kwa asilimia 45 wakati kusaga akawekeza kwa asilimia 51 mmiliki kabisa Ni Diamond na ndio aliyetoa Hilo wazo la hiyo media wengine Ni wa wekezaji wenzake ndio maana mondi anatumia nguvu kubwa kuliko wengine ili Wasafi media iwe kubwa compare na wengine
 
Unafikiri kusaga ama diamond nani kamfata mwenzake kumuomba washirikiane wagawane shea

Bila diamond unafikiri media ingepata wasikilizaji hiyo haraka haraka ama tungeijua?

Hoja yako ni ipi.?

Unaposema Kusaga ‘alimpa’ Almasi 45% shares unamaanisha nini, shea unapewa tu.?

Bila kujalisha nani alimfuata mwenzake, ule ni uwekezaji na kuja makubaliano...ni vizuri unatambua nguvu ya Almasi na ‘brand’ yake hata kama hajaweka thumni.

Kusaga anazo ‘media’ kibao uchwara, mbona hazikui kama Wasafi.!!
 
Tatizo lake alikuwa Mshamba sana na akajisahau kuwa dunia inakimbia
Kila zama na mambo yake au umejisahaulisha!? Wako wapi producers Master J na P Funk!?
 
Hawa directors asee.
Mimi katika video directors niliowakubali ni Nisher ila alikaa muda mfupi sana na nahisi kukaa chuga, kukimbiwa na weusi na hata ile kutokuwa na njaa pia ilichangia

Nisher ndio alikua ana miliki Kallaghe Pictures?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…