Director Nisher; Nini Kimepoteza Umaarufu Wa Kazi Zake.

mzama chumvini

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2016
Posts
730
Reaction score
642
Sabakher wadau,

Director nisher nakumbuka kipind kile unafanya Mama Yeyo, Jikubali, na Nje ya box. Kila mtu anayependa muziki mzuri basi sio rahisi kukosa kulitaja jina lako ukipost kipande cha video tu insta watu wanakurupusuana kila kona waje wakiangalie Video zako zilibamba sana mpaka kupigwa channel 0 Wasanii wote walikuwa wanakuja chuga kupata huduma yako.

Mambo yalivyo sasa: Nisher huna fans yaan umebaki kama gofu, watu wanamuamini Hanscana, Khalfan, na Joowzey wanakuacha wewe, nimepita jana Youtube Video yako ya mwisho ina viewers elfu 12, nini tatizo? Ndo kusema baba ako (Geordavie) hapendi unachofanya? ulilewa sifa ulipokuwa on top? au ndo Hanscana na Khalfan wamekufunga kwenye chupa?
 
Ni kawaida tu kila jambo na wakati kila zama na mfalme wake, uzuri ni kwamba hajaharibu kazi ila wasanii wameamua kutafuta ladha mpya.
 


Hao wote kama sikosei unawapigia promo kupitia jina la huyo jamaa bongo bado ndo mana wasanii walio na uwezo wanakimbilia nje pia sikiliza mkasi alipohojiwa na salama na hao unaowataja

Maisha bila unafiki hayaendi baba ake anahusika na nn ktk hiyo fani? Kwani hizo kaz zilipovuma baba ake alikuwa pamoja nae kwa sasa kamkimbia? Badala ya kutoa ushaur unaponda.....

Nyie ndo mnahusika kuua vipaji vya watu na wanzilishi wa matimu... Mambo ya familia unaingiza huku sio vizur ukifuatilia mahojiano ya watu waliofanikiwa wengi wanakwambja wazaz wangu walikuwa hawawaungi mkono baada ya kutoka wameanza kuwaelewa ni chuki ndo nnachokiona hapa.
 
radika Asante Kwa Ushauri Wako!! Ila Nakuona Upo Race Sana Punguza Povu! Na Usilete Stress Za Ndoa Jf!! Baba ake huyu dogo Nabii Geordavie! Lyf la huyu dogo halipo ki2mish kabisa! Na kwenye Hiyo Interview Alisema Kuwa Yeye Kamtenga Mshua! Ndo Maana nikaweka Angalizo! Na Sikuweka Moja! Nxt tym Uwe Una Comment Kama Mwanaume! Uache Taarabu
 


Ngoja nkuache
 
Nisher ana maringo sana. Akiitwa kwa Interview anabinua binua midomo kama baridi. Acha Hans awakomeshe na hilo bonge la studio la bilion moja.
 
Nisher ana maringo sana. Akiitwa kwa Interview anabinua binua midomo kama baridi. Acha Hans awakomeshe na hilo bonge la studio la bilion moja.
siku hizi kuna ka msemo kanatamba sana "waaume wa dar" na wewe ni mmoja wao?
 
Anarogwa na ma director wa SOUTH AFRICA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…