Empirically
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 238
- 87
Link haifunguki diploma wanataka GPA kuanzia ngapHao 13000 walishapangwa muda mrefu. Nyie mnaaply kutimiza wajibu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu naattach certificates naambiwa zinwe katika pdf wakati tayari ni pdf. nimekwamia hapo
Mkuu kwenye tangazo sijaona issue ya GPA, nadhani kama una sifa tajwa fuata utaratibu then apply tu.GPA kuanzia ngap kwenye diploma wanataka
Mlisema hawatatoa, sasa wametoa mmekuja na lingine.Hao 13000 walishapangwa muda mrefu. Nyie mnaaply kutimiza wajibu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Shukrani mkuuMkuu kwenye tangazo sijaona issue ya GPA, nadhani kama una sifa tajwa fuata utaratibu then apply tu.
Asante sana LissuWakuu Salaam;
Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu.
Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo :https://ajira.tamisemi.go.tz/ .
Kigezo cha kua na kitambulisho au namba ya NIDA kimejumuishwa kama msingi kwa waombaji wote.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 21/09/2020.
All the Best.
Hivi kuapply ni sh ngapKitakachosumbua kwenye hizi applications za ajira ni mtandao
Ni bure.Hivi kuapply ni sh ngap
Ok Yan unamaanisha kwa serkali ni bure Ila ukienda internet cafe yenyew ndo watakutoza helaNi bure.
Vishoka hawakosekani ujue hilo
Lisu anahusikaje, ajira huwa zinatangazwa mara kwa mara tatizo lipo kwa upande wa waalimu wa sana.Asante sana Lissu
Namaanisha kutuma maombi ni bure, Hamna tozo yyt. Mengine yako constant.Ok Yan unamaanisha kwa serkali ni bure Ila ukienda internet cafe yenyew ndo watakutoza hela
Tunamshukuru lissu ndie aliyefosi mpka wametoa ajira. haihitaji degree kujua kwamba utoaji wa ajira huu umekaa kisiasaMlisema hawatatoa, sasa wametoa mmekuja na lingine.
Ni diploma ndo wanaopata nafasina sisi wenye degree za engineering poa tuombe ualimu. Si ndo maana ya tangazo au kuna sehem sijaelewa?