mustapha hashimu
Senior Member
- Jan 25, 2017
- 145
- 30
Nisahihi kabsaNafikiri wataangalia uhitaji wa shule na ufaulu kati yenu mtakaokuwa mnacompeti kwenye shule mliyoomba
Ni sahihi ila pia mwenye mkono mrefu ndy anapata, ni kanuni.Nafikiri wataangalia uhitaji wa shule na ufaulu kati yenu mtakaokuwa mnacompeti kwenye shule mliyoomba
Wamaanisha nn unaposema mwenye mkono mrefu mkuu??Ni sahihi ila pia mwenye mkono mrefu ndy anapata, ni kanuni.
ConnectionWamaanisha nn unaposema mwenye mkono mrefu mkuu??
Aliahidi kila kijiji kitapata 50mil je ilitokea?Ajira zinatoka hzo mkuu wangu kwakuwa mkulu ameahidi
Sawa mkuu nimekuelewa, lin zitatoka post ebu tupia utabiri wakoConnection
Nikwel kabsa umenena, jamaa amekuwa popo
December kwaajil ya january, haya maombi ya juzi ni ili mtoe kuraSawa mkuu nimekuelewa, lin zitatoka post ebu tupia utabiri wako
Zitoke mapema tujue aiseehAjira zitatika kati ya 21/10/2020 hadi 27/10/2020.
Stay tuned.
Najua watatoa mapema aiseeh siunajua mwaka huu kiongoz wanaweza wakatoa alafu wakaripoti before DecemberDecember kwaajil ya january, haya maombi ya juzi ni ili mtoe kura
Never hata shortlist bado hawajaanza.Najua watatoa mapema aiseeh siunajua mwaka huu kiongoz wanaweza wakatoa alafu wakaripoti before December
Watatuelewa tr28Never hata shortlist bado hawajaanza
Vikao vimeshaanza, acha kupotosha mkuu.Never hata shortlist bado hawajaanza
Mkuu hadi pesa za kujikimu zimeshatengwa, hivo basi muda wa maandalizi utakuwa mchache sana kwa wale wataochaguliwa.Watatuelewa tr28
Kama pesa imetengwa na mchakato umeanza itakuwa vema tusubir tukae mkao wa kulaMkuu hadi pesa za kujikimu zimeshatengwa, hivo basi muda wa maandalizi utakuwa mchache sana kwa wale wataochaguliwa.
Pia kutokana na shida ya ajira kene Oteas walioomba ajira si tu walimu, Bali
Waliosoma IT
MaEngeneer
WaKilimo
WaAfya
F6Leaver e.t.c
Maana mfumo bado unamakosa mengi, yoyote anaweza kuomba, maana pia sio gharama kuomba, ni suala la' bando' tu na 'App ya Camscaner'
Hivo basi, Jopo liko makini mnooo, kuondoa contradictions.
Ad wa kilimo wameomba na form six leaver ??Mkuu hadi pesa za kujikimu zimeshatengwa, hivo basi muda wa maandalizi utakuwa mchache sana kwa wale wataochaguliwa.
Pia kutokana na shida ya ajira kene Oteas walioomba ajira si tu walimu, Bali
Waliosoma IT
MaEngeneer
WaKilimo
WaAfya
F6Leaver e.t.c
Maana mfumo bado unamakosa mengi, yoyote anaweza kuomba, maana pia sio gharama kuomba, ni suala la' bando' tu na 'App ya Camscaner'
Hivo basi, Jopo liko makini mnooo, kuondoa contradictions.
Mbona kuwekana roho juu juu wajameni! Tumwamini yupi sasa!Vikao vimeshaanza, acha kupotosha mkuu.
Tunaamin ajira zitatoka kabla ya uchaguz kuanzia 21st October to 27th October hyo wiki ya maajabu, jamaa alisistiza anaajiri waalimu 13,000 kuongeza nguvu juz alipopiga simu kufuta tangazo, aliloiita upumbavu lipuuzweMbona kuwekana roho juu juu wajameni! Tumwamini yupi sasa!