INAUZWA DISH SAVERS(ya kuhifadhia chakula)- kama ya kwenye Bufee.

INAUZWA DISH SAVERS(ya kuhifadhia chakula)- kama ya kwenye Bufee.

ligavan

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2017
Posts
267
Reaction score
555
Wakuu nauza dish savers, ziko mbili, kila moja ni 150,000tshs pungufu unaongea.



Nimezitumia kwa muda mfupi sana hivyo bado mpya kabisa, zinadai, Nilikua nazitumia kwenye mgahawa wangu ila sasa nabadilisha biashara.

Alieserious aniPM tufanye biashara, napatikana Bunju A.

Picha nimeshindwa Kuupload.
 
Back
Top Bottom