Dismas Ten wa Yanga ni zaidi ya msemaji

Huyu jamaa ndo anawavalisha yanga masweta mchana wa jua kali? Wanaishiwa maji mwilin kwa kutokwa na jasho... Hana akili kabisa.
 
Msemaji bora wa wakati wote kwa timu ya wananchi ni zahera mkongomani
 
Yupo smart sana Siyo mropokaji kama jinga jinga la mikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…