Distance relationships

her self

Senior Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
144
Reaction score
198
Wapendwa ebu tuambizane kdg, hamna mapenz mazito na yanayoitaj moyo kama haya(mwenzako yuko arush ww uko lindi)....n nani anawajibu wa kumtafuta mwenzie, kumjulia hali mwenzie....hivi ndio vitu vinavyofanya mapenz ya namna hii kuvunjika.
 
Mnabadilishan akukutana kila wikendi kila mtu zamu yake ya kusafiri
Wapendwa ebu tuambizane kdg, hamna mapenz mazito na yanayoitaj moyo kama haya(mwenzako yuko arush ww uko lindi)....n nani anawajibu wa kumtafuta mwenzie, kumjulia hali mwenzie....hivi ndio vitu vinavyofanya mapenz ya namna hii kuvunjika.
 
Mapenzi ya mbali inatakiwa mtafute namna mpya na bora ya kuexpress hisia zenu.
Mfano kufanya phone sex, video chat teasing na vitu kama hivyo.

Hayasongi mbele haya mahusiano kwakua mabinti hujifanya wana aibu sana kiasi hata kuongea neno kama lilivyo atakwambia anaogopa. Hivyo mawasiliano hufa, na watu wote hua tunadeal na tunachokiona kuliko tunachosikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…