...Sasa alinidokeza mwezi wa Saba kwamba kule chuoni hawana internet mwezi wa nne sasa...
*Hili inawezekana kuwa ni tatizo!
Nikammuliza sasa hizo assignment mnafanya research kivipi akaniambia kupitia material ya waliopita.
*yaani hapa kama waliopita walikosea hizo programming, pia hawa wadogo zao nao wata kopi matango, mmmh!
Sasa likaja swali la programming. Wao wanaruhusiwa kutumia computer (kumbuka hazina internet) masaa machache kwa wiki tuu- siku nyingine hawawezi kwasababu wanafunzi wamejaa.
*hii inamaanisha ni uhaba wa vitendea kazi
Programming wanakaa darasani wanamsikiliza mwalimu anavyoandika ubaoni !.... Nikasema Mungu wangu unajifunza programming kwa kutumia ubao
*hili ni tatizo kubwa sana.....wanahitaji mabadiliko makubwa sana!
akasema ukitaka msaada kutoka kwa wanafunzi wanaoelewa (akili zinazo chaji) wanakuambia leta hela kwanza ndio nitakuelekeza.
*hii tunasema kufa kufaana! je kama mtu hana hela? ndo imekula kwako lol!
***Sijui serikali ya DIT kama imeshawahi kukaa na kutafakari juu ya hili suala!
Tangu awe principal wa chuo kile haya ndiyo yanayoendelea katika chuo chake...Kwanini unamwita Kilaza? Tupe data tafadhari!
Mambo mengi yako ndani ya uwezo wake kuyakabili. Kama si ukilaza ni kitu gani? Unajua kusoma sana si kuelimika!!...Sasa alinidokeza mwezi wa Saba kwamba kule chuoni hawana internet mwezi wa nne sasa...
*Hili inawezekana kuwa ni tatizo!
Nikammuliza sasa hizo assignment mnafanya research kivipi akaniambia kupitia material ya waliopita.
*yaani hapa kama waliopita walikosea hizo programming, pia hawa wadogo zao nao wata kopi matango, mmmh!
Sasa likaja swali la programming. Wao wanaruhusiwa kutumia computer (kumbuka hazina internet) masaa machache kwa wiki tuu- siku nyingine hawawezi kwasababu wanafunzi wamejaa.
*hii inamaanisha ni uhaba wa vitendea kazi
Programming wanakaa darasani wanamsikiliza mwalimu anavyoandika ubaoni !.... Nikasema Mungu wangu unajifunza programming kwa kutumia ubao
*hili ni tatizo kubwa sana.....wanahitaji mabadiliko makubwa sana!
akasema ukitaka msaada kutoka kwa wanafunzi wanaoelewa (akili zinazo chaji) wanakuambia leta hela kwanza ndio nitakuelekeza.
*hii tunasema kufa kufaana! je kama mtu hana hela? ndo imekula kwako lol!
***Sijui serikali ya DIT kama imeshawahi kukaa na kutafakari juu ya hili suala!
mmmmh, nimekusoma! nadhani safari hii atalifanyia kazi! mi nadhani wao wanafurahia kuona wanafunzi wakipata 'supl', 'disco'...sijui hawajiulizi tatizo ni nini? Kwani hawana evaluation kwa wakufunzi wa wanafunzi?:confused2:Tangu awe principal wa chuo kile haya ndiyo yanayoendelea katika chuo chake...
Mambo mengi yako ndani ya uwezo wake kuyakabili. Kama si ukilaza ni kitu gani? Unajua kusoma sana si kuelimika!!
Sidhani kama ana uwezo huo, yeye ni Prof wa Physics, sasa unatarajia nini? Nadhani ni wakati wa kufanya mabadiliko makubwa, hastahili kuendelea kukaa hapo!Mambo mengi yako ndani ya uwezo wake kuyakabili. Kama si ukilaza ni kitu gani? Unajua kusoma sana si kuelimika!!
Wakuu, heshima mbele.
Nimefuatilia matoke ya mitihani ya DIT na kuona kwamba idadi ya wanafunzi waliofeli ni kubwa sana ukilinganisha na idadi ya watahiniwa! Nashindwa kuelewa ni kwanini hii hali inatokea?
- Je, ni kweli kwamba wanafunzi hawatilii masomo maanani?
- Ni kweli kwamba wakufunzi wanatunga mitihani migumu?
- Mfano, katika matokeo ya DIT inaonyesha katika kila darasa nusu ya wanafunzi wamefeli na wanatakiwa kurudia mitihani!!
- Nini kifanyike kuokoa hali hii?
- Matokeo kama haya yakiendelea, taifa litakuaje miaka 30 ijayo?
- Kwa mtindo huu tunajenga au tunabomoa nchi?
- Ni kweli kwamba wakafunzi wanatunga mitihani ya kukomoana?
Baadhi ya matokeo ya DIT gonga hapa!, civil engineering, mining engineering, electrical engieering,
Asanteni kwa michango yenu!
Unamaanisha kwamba mtu anayestahili kukaa katika nafasi hiyo ni lazima awe amesomea mambo ya 'management'??Sidhani kama ana uwezo huo, yeye ni Prof wa Physics, sasa unatarajia nini? Nadhani ni wakati wa kufanya mabadiliko makubwa, hastahili kuendelea kukaa hapo!
Samahani, nilimaanisha 'uwiano wa wanafunzi waliofeli na idadi ya waliotahiniwa'Hapo penye nyekundu, pananishitua. Kama waliofeli wanazidi watahiniwa basi wanachuo WOTE wamefeli.
hapo kwenye red tafadhari, hii inamaanisha nini?Kuhusu wanafunzi kutokufanya vizuri mitihani yao ni suala mtambuka. .
Wakuu, heshima mbele.
Nimefuatilia matokeo ya mitihani ya DIT na kuona kwamba asilimia ya wanafunzi waliofeli ni kubwa ukilinganisha na idadi ya wanafunzi waliofaulu! Karibu nusu ya wanafunzi katika kila darasa wamefeli mitihani yao! Nashindwa kuelewa ni kwanini hii hali inatokea?
- Je, ni kweli kwamba wanafunzi hawatilii masomo maanani?
- Ni kweli kwamba wakufunzi wanatunga mitihani migumu?
- Mfano, katika matokeo ya DIT inaonyesha katika kila darasa nusu ya wanafunzi wamefeli na wanatakiwa kurudia mitihani!!
- Nini kifanyike kuokoa hali hii?
- Matokeo kama haya yakiendelea, taifa litakuaje miaka 30 ijayo?
- Kwa mtindo huu tunajenga au tunabomoa nchi?
- Ni kweli kwamba wakafunzi wanatunga mitihani ya kukomoana?
Baadhi ya matokeo ya DIT gonga hapa!, civil engineering, mining engineering, electrical engieering,
Asanteni kwa michango yenu!
**Poor himTatizo namba moja la DIT ni kuondoka kwa Dr. Richard Masika.
.Tatizo namba mbili ni kuwepo kwa mhadhiri mmoja mfupiii (jina tunalo). Hajui na hajui kama hajui
**I've been asking myself, why most of DIT staffs go for their PG education in China? I see!Tatizo la Tatu ni ubia wao na vyuo vya Uchina. (Nafikiri kila mtu anafahamu namna wachina walivyogeuza nchi yetu dampo la vitu vya hovyo hovyo. Walimu wengi wa DIT wanaenda kupigwa msasa China. Kwa hiyo usitegemee kuna walimu wazuri DIT. Sahau.
**Hili linaweza kukwepeka kwa uwezo wa mwanafunzi binafsi! Kama mtu umeenda shule ana unania ya masomo, hili siyo tatizo! Ninauhakika hata wanafunzi wa UDSM nao huenda hizo ladies free!Mwisho ni mazingira. Ni katikati ya jiji. Kwa hiyo kuna vurugu na vishawishi vingi. Mfano, pembeni kidogo kuna sehemu inaitwa Mabatini, maarufu kwa machangudoa wa ''Buku''. Mbele kidogo, kuna mahali barabara ya Uhuru inakutana na Lumumba, maarufu kwa machangudoa wa bei mbaya. Mbele kabisa kuna Ohio, huko kila mtu anafahamu kuna nini. Mbele zaidi kuna Joly Club, huko ni baraa (hata mashoga utawakuta). Kati kuna Bills (kila Alhamisi ni Ladies Free).
**I am comfident this time something good will come up. Lets hope for the bes.Kama hayo yote hayajaonekana kuwa tatizo kwa uongozi, na kuchukuliwa hatua, basi yana mkono wake katika matokeo mabovu unayosema.
Tatizo namba moja la DIT ni kuondoka kwa Dr. Richard Masika.
Tatizo namba mbili ni kuwepo kwa mhadhiri mmoja mfupiii (jina tunalo). Hajui na hajui kama hajui.
Tatizo la Tatu ni ubia wao na vyuo vya Uchina. (Nafikiri kila mtu anafahamu namna wachina walivyogeuza nchi yetu dampo la vitu vya hovyo hovyo. Walimu wengi wa DIT wanaenda kupigwa msasa China. Kwa hiyo usitegemee kuna walimu wazuri DIT. Sahau.
Mwisho ni mazingira. Ni katikati ya jiji. Kwa hiyo kuna vurugu na vishawishi vingi. Mfano, pembeni kidogo kuna sehemu inaitwa Mabatini, maarufu kwa machangudoa wa ''Buku''. Mbele kidogo, kuna mahali barabara ya Uhuru inakutana na Lumumba, maarufu kwa machangudoa wa bei mbaya. Mbele kabisa kuna Ohio, huko kila mtu anafahamu kuna nini. Mbele zaidi kuna Joly Club, huko ni baraa (hata mashoga utawakuta). Kati kuna Bills (kila Alhamisi ni Ladies Free).
Kama hayo yote hayajaonekana kuwa tatizo kwa uongozi, na kuchukuliwa hatua, basi yana mkono wake katika matokeo mabovu unayosema.
Tatizo namba moja la DIT ni kuondoka kwa Dr. Richard Masika.
Tatizo namba mbili ni kuwepo kwa mhadhiri mmoja mfupiii (jina tunalo). Hajui na hajui kama hajui.
Tatizo la Tatu ni ubia wao na vyuo vya Uchina. (Nafikiri kila mtu anafahamu namna wachina walivyogeuza nchi yetu dampo la vitu vya hovyo hovyo. Walimu wengi wa DIT wanaenda kupigwa msasa China. Kwa hiyo usitegemee kuna walimu wazuri DIT. Sahau.
Mwisho ni mazingira. Ni katikati ya jiji. Kwa hiyo kuna vurugu na vishawishi vingi. Mfano, pembeni kidogo kuna sehemu inaitwa Mabatini, maarufu kwa machangudoa wa ''Buku''. Mbele kidogo, kuna mahali barabara ya Uhuru inakutana na Lumumba, maarufu kwa machangudoa wa bei mbaya. Mbele kabisa kuna Ohio, huko kila mtu anafahamu kuna nini. Mbele zaidi kuna Joly Club, huko ni baraa (hata mashoga utawakuta). Kati kuna Bills (kila Alhamisi ni Ladies Free).
Kama hayo yote hayajaonekana kuwa tatizo kwa uongozi, na kuchukuliwa hatua, basi yana mkono wake katika matokeo mabovu unayosema.