DIT inaongoza kwa kufelisha wanafunzi? Tatizo ni nini hasa? Nini kifanyike?

Jamani hatutaki wahandisi Feki, tumechoka na majanga ya kila siku yanayosababishwa na wahandiki wasiomudu fani zao. Hii sio fani ya kubahatisha. Hata ikitokea darasa zima wamefeli, basi isitokee standadaizesheni ili chuo kisionekane hakifelishi. Kufeli ni kufeli, afeli mmoja, wengi au wote, kote ni kufali, kwa maana ya wanafunzi wameshindwa kumeet minimum qualification kuwawezesha kuendelea au kupata vyetu nukta
 
Nadhani mkuu mpaka dakika hii atakuwa ameupata huu ujumbe!
 
Hapa, hatuangalii mambo kwa upande mmoja wa shillingi! Kufeli tunajua kupo! Ila inawezekana vipi darasa lenye wanafunzi 46 wakafeli wanafunzi 26? Nusu ya darasa wamefeli! Inamaana hao wanafunzi walipataje nafasi ya kusoma hapo kama uwezo wao ni mdogo? Tatizo ni nini hasa? Ndiyo maana tunajadili!
 
Kondoro +nyahumwa angalieni mustakabali wa chuo hiki,kuweni makini!
 
mie ni engineer wa dit BENG telecom,kuna kamwalimu kanaitwa ngomuo ndo tatizo kubwa la dit,anataka kuonekana yeye ndo anajua kila ki2..
 

mwambie aje informatics-udom hapa tjila ki2 kipo bt ajipange coz rate ya kudisco inakimbizana na dit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…