Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
kwanini mkopo nisipate,wakati nina ONE
Dogo kweli kilaza yani umesoma Horizontal Gaining Education lkn umepiga CCB? Jipangeeeeee
Acheni zereu asee., wengine tulipiga III mnatufanya tujisikie vibaya asee..!
Mkuu omunga don't mention, humu JF kuna milembe JF, muhimbili jf, so mentality sio kitu cha ajabu humu. Find someone ambaye alisoma hiyo combination may be atakusaidia..!
Ndo tatizo la hili jukwaa la elimu watu humu huwa wanazarau sana na wakati wenyewe ni vilaza sana, mtu anapata 1 w unaanza kumponda! Huo ni upumbavu na ukike kabsa ndio maana hili jukwaa huwa lina wachangiaji wachache kwa ajili wengi hawapendi kwa ajili ya upumbavu kama huu wa dharau za kimavi.
Wote mliochangia kwa kuponda hamna maana. Kijana kauliza apate msaada mnaanza kuleta mbwembwe zenu.
Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
kwanini mkopo nisipate,wakati nina ONE
aisee HGL unapata 3 sasa ungekua PCB si ungepata zero watu kama nyinyi mlitakiwa hata chuo msipate