Div one -hgl point 8

Ningekushauri uombe BPA-HSM, mzumbe japo ushindani ni mkubwa.
 

umenena..
 


dah ningekuwa natumia PC ningelike comment yako kuna maboya humu ndani kama walisoma basi walikuwa mati-o kumbe nao vilaza tu au waliishia form 4 den wakafeli.
 
ni kweli umefaulu vizuri ila kuwa makini kwenye kuchagua facult angalia baadae usichague kwa ajili ya ubishoo baadae upate shida kaka
 
sikiliza mdogo wng,achana na fikra za udsm na mzumbe tu,huko kuna competition sana na pia mafisadi wote wanafikiria kuwapeleka watoto wao huko hata kwa kuwalipia hvyo chance hazitatosha,ungepiga one ya tano,nne,hadi tatu angalau,kuna koz nzuri tu zitakazokutoa muccobs,sua,chuo cha serikali za mitaa n.k,using'ang'anie huko tu mdogo,fikiria na out of the box
 
Somea kazi unayopenda kufanya, kwa kuwa mafanikio ya maisha ni kutimiza ndoto.
 

nashukuru kaka umeliona hlo, na kwasababu humu weng waliojaa n wapuuzi, mi ndo mana naingiaga jukwaa la sheria.
My take: ur interest + future career, utapata jbu la kusomea, who u want to b n future..
 
Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani

yan ww mpaka unamaliza form 6 huna malengo yoyote na future yako na hujui unasoma ili uje kuwa nan, huo ni uzembe brah,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…