Hahaa eti !! Sasa ndio nini ..nyimbo zimejaa matusi tupuAnamaanisha zile kasi za 'inama nipachike rungu'
Kiba anashindwa kwenda na kasi ya mziki wa sasa !?
Zuchu views zimeganda tu...Rostam wabaya sanaKama Diva ni msichana na Zuchu tumuite nani?
😃Zuchu views zimeganda tu...Rostam wabaya sana
wakati unasema kuwa zimepitwa na wakati lakini anapo relise. vibao vyake. vinakuwa namba1 on trending.... au ulitaka. nawe awe mr copy and paste.... si bora aimbe hiyo hiyo midumange tu kuliko kucopy copy hovyo
Alikiba alikwenda kumuombea msamaha Diva wala sio kwaajili ya interview lakini mimi bado nasikitika sana kitendo cha kiba kutembea na msichana aina ya Diva wakati anajua fika Diva ni nut kabisa!
Naanza kuamini naye Kiba hayuko sawa!
Sent from my iPhone using Tapatalk
BintKama Diva ni msichana na Zuchu tumuite nani?
Kama Diva ni msichana na Zuchu tumuite nani?