Diva achana na Udaku, haukufai

Diva achana na Udaku, haukufai

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Shoga kidawa toka afukuzwe kazi clouds basi anajifanya kajiajiri mwenyewe, madai anafanya gossip news , news zenyewe ana Copy paste trend news za Instagram ndo anapachika kwake, yani mpaka namuonea huruma.

Inshort Diva umbea haumfai kabisa sio kipaji chake yani, huwa ananichekeshaga sana anavyopost, vitu vya ajabu ajabu havina mbele wala nyuma, c bora unipe pesa nikufundishe kuandika hot gossips za mjin account yako iwe talk of the town in two minutes .

Hata nashindwa kuelewa hiyo journalism ulisomea wap na kuandika hujui, yani umbea wako hauna chumvi wala sukari, upo upo tu kama makande ya juzi, kama huna hiyo talent si uwajiri watu wenye vipaji vyao , yani unaokota okota umbea uliosambaa insta Nzima then unauleta kwako as if wewe ndo source.

Nakushauri uendelee tu na masuala ya mapenzi, huku kwemye umbea tuachie akina warumi, unatuaribia kazi zetu
 
Nimepita kweny account yake leo nimeiona ni ujinga mtupu hakuna news anaokota tuuh kweny account za udaku anaziweka kwake

Amechanganyikiwa anatafuta kiki kwa hali na mali maskini , na umbea Wenyewe sasa hajui hata kidogo
 
Diva ameporomoka fasta kama utani vile.

Mda mwingine had namuonea huruma maskini , kipindi cha nyuma diva alikua diva bwana , sasa hiv diva na yeye anakimbizana na kina carry mastory na vitanganzo vya elfu tano halafu anajiita millionare she has this ana that , yule sio mzima kichwan I’m telling you
 
Huyu posa ilikua Milioni nyingi sana.
 
Sasa hiv yupo busy anajipendekeza kwa diamond anatoa sifa kumsifia mpk unaesoma unaona aibu wewe

Sijui hanaga washauri, yani anajiaribia brand aliyoitengeneza kwa miaka kibao, Yan ana shobo za kipumbavu , hata sijui hiyo shule yenyewe anasomaga nn, ni mpuuzi sana yani post za diva zinaboa Jaman , zinatia hasira kama nini, Sijui hanaga washauri maskini
 
Sijui hanaga washauri, yani anajiaribia brand aliyoitengeneza kwa miaka kibao, Yan ana shobo za kipumbavu , hata sijui hiyo shule yenyewe anasomaga nn, ni mpuuzi sana yani post za diva zinaboa Jaman , zinatia hasira kama nini, Sijui hanaga washauri maskini

Huyo ni mshamba sana katika page ambazo sipiti ni hiyo huyo diva simpend simuelew sijui ana akir gan
 
Sasa hiv yupo busy anajipendekeza kwa diamond anatoa sifa kumsifia mpk unaesoma unaona aibu wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo alipoishia sasa, hakna namna lol
 
Tatzo hatulizi akili chini, yeye anataka mafanikio kwa haraka, mwishoe anaonekana kituko tyuuh. Anatia huruma kwakweli.
 
Soon anakwenda kuajiriwa Wasafi Media.
Kipaji cha kutangaza anacho, ila akili hana, majivuno kibao, dharau za kufa mtu na tabia zake ni chafu sana.

Njia pekee ya kumsaidia ni kumshauri na kumuombea, kumchukia sio sawa na sio vyema.
 
Mda mwingine had namuonea huruma maskini , kipindi cha nyuma diva alikua diva bwana , sasa hiv diva na yeye anakimbizana na kina carry mastory na vitanganzo vya elfu tano halafu anajiita millionare she has this ana that , yule sio mzima kichwan I’m telling you
yani umbea wako hauna chumvi wala sukari, upo upo tu kama makande ya juzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatzo hatulizi akili chini, yeye anataka mafanikio kwa haraka, mwishoe anaonekana kituko tyuuh. Anatia huruma kwakweli.
yani umbea wake hauna chumvi wala sukari, upo upo tu kama makande ya juzi
 
Back
Top Bottom