financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kumbe ni tofauti? Aisee najuaga ni mtu mmoja !hivu huyu msanii na aliyefungua butcher + genge anaitwa nani? Na yule alikua mtangazaji ni nani? Dah😛😛Ni Diva sio Lulu Diva dia wifi financial services
Hao ni watu wawili tofauti ujue
Binamu umeuwaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuuh unakujaga hadi huku? Oooohyani umbea wake hauna chumvi wala sukari, upo upo tu kama makande ya juzi
Kweli bongo nyoso. Sijui hii hali ya mtu kujitia yeye ndio yupo sahihi inatokana na nn??mlipenda aondoke clouds mkafanikiwa leo anajambo lake lakutafuta ridhiki pia hampendi kuona akifanya duh.. ..kazi ipo nchii hiiShoga kidawa toka afukuzwe kazi clouds basi anajifanya kajiajir mwenyewe, madai anafanya gossip news , news zenyewe ana Copy paste trend news za Instagram ndo anapachika kwake, yani mpaka namuonea huruma. Inshort diva umbea haumfai kabisa sio kipaji chake yani, huwa ananichekeshaga sana anavyopost, vitu vya ajabu ajabu havina mbele wala nyuma , c bora unipe pesa nikufundishe kuandika hot gossips za mjin account yako iwe talk of the town in two minutes .
Hata nashindwa kuelewa hiyo journalism ulisomea wap na kuandika hujui, yani umbea wako hauna chumvi wala sukari, upo upo tu kama makande ya juzi, kama huna hiyo talent si uwajiri watu wenye vipaji vyao , yani unaokota okota umbea uliosambaa insta Nzima then unauleta kwako as if wewe ndo source. Nakushauri uendelee tu na masuala ya mapenzi, huku kwemye umbea tuachie akina warumi, unatuaribia kazi zetu mbwa wewe mxieew
Wabongo tabu sana.Kweli bongo nyoso. Sijui hii hali ya mtu kujitia yeye ndio yupo sahihi inatokana na nn??mlipenda aondoke clouds mkafanikiwa leo anajambo lake lakutafuta ridhiki pia hampendi kuona akifanya duh.. ..kazi ipo nchii hii
Wabongo bila ubongoWabongo tabu sana.
Riep warumiShoga kidawa toka afukuzwe kazi clouds basi anajifanya kajiajiri mwenyewe, madai anafanya gossip news , news zenyewe ana Copy paste trend news za Instagram ndo anapachika kwake, yani mpaka namuonea huruma.
Inshort Diva umbea haumfai kabisa sio kipaji chake yani, huwa ananichekeshaga sana anavyopost, vitu vya ajabu ajabu havina mbele wala nyuma, c bora unipe pesa nikufundishe kuandika hot gossips za mjin account yako iwe talk of the town in two minutes .
Hata nashindwa kuelewa hiyo journalism ulisomea wap na kuandika hujui, yani umbea wako hauna chumvi wala sukari, upo upo tu kama makande ya juzi, kama huna hiyo talent si uwajiri watu wenye vipaji vyao , yani unaokota okota umbea uliosambaa insta Nzima then unauleta kwako as if wewe ndo source.
Nakushauri uendelee tu na masuala ya mapenzi, huku kwemye umbea tuachie akina warumi, unatuaribia kazi zetu