umewahi kumuona live?Huyu kigagula unaweza dhani ni pisi kali kumbe copy ya mkoko tonombe
Diva kinacho mbeba ni sauti tu mkuu acha kumtetea!umewahi kumuona live?
😂😂😂Kiukweli Diamond ndio king...Kujiweka mbali na Diamond au kutomzungumzia ni kujikosesha pesa kwa mwanahabari.
Niwapeni tu story kuna online media moja uko youtube yakuitwa rick media iliingiaga mkataba na hamonaizi waandike habari zake kwa sharti la kutoandika habari za Diamond na Wasafi. Jamaa akawapa mpaka Noah yake ile ili wafanyie shughuli zao. Sasa jamaa wakakaukiwa content Tv yao ikadoda maana usipoandika habari za Diamond watu watazifata zinapoandikwa. Basi jamaa wakaanza kukava ishu za Mondi, Konde akaona msinitanie akaenda kuwapora noah yake 😂😂😂
Msiba wa nani?Mwambie kazi haiombwi mtandaoni,aandike tu barua itajadiliwa.
Wati tuna msiba anatusumbua.
😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣Kiukweli Diamond ndio king...Kujiweka mbali na Diamond au kutomzungumzia ni kujikosesha pesa kwa mwanahabari.
Niwapeni tu story kuna online media moja uko youtube yakuitwa rick media iliingiaga mkataba na hamonaizi waandike habari zake kwa sharti la kutoandika habari za Diamond na Wasafi. Jamaa akawapa mpaka Noah yake ile ili wafanyie shughuli zao. Sasa jamaa wakakaukiwa content Tv yao ikadoda maana usipoandika habari za Diamond watu watazifata zinapoandikwa. Basi jamaa wakaanza kukava ishu za Mondi, Konde akaona msinitanie akaenda kuwapora noah yake 😂😂😂
Kiba namba 3, mbili sijui nanKiba ana maoni gani ?
Sio njaa ni ukweli usiopingika Diamond ndo the 🐐 of bongo fleva .... Hata ukimuona konde boy jina la Mond lazima liongelewe , Hbaba , Mwijaku hawapati airtime bila dmond kinywan mwaoNjaa imeanza kuwa kali sio??