Diva: GK Hakuwa Romantic kwenye mapenzi Ukauzu mwingi

Unakua romantic kwa jambazi kama Diva...?duh wanaume tuna kazi aiseeee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maua tu au kuna lingine? Isiwe uasharati upo kwenye damu halafu anatumia kigezo cha kutopelekewa maua ndio ampige kubuti GK.
 
Diva michosho...alishindwaje yeye kuyanunua hayo mahitaji.? pesa si anayo...

demu wa dizaini hiyo hata umpe almasi haridhiki...atataka na mengine na mengineyo...
 
GK naye hakuwi, bado ana swaga zilezile za east cost vs tmk.

muonekano wake unajieleza.
 
Wanawake hudatishwa na vitu very minor
 
Hawa watu wa ajabu sana
Wengine wanataka Maua
Wengine pesa
Wengine wanataka uwachimbe chumvi
Wengine wanataka muhogo, ngumu sana kuwaelewa hawa viumbe anyway wacha tuishi nao kwa akili
 
Mama Gaude wangu nimpelekee maua anaweza kucheka mpaka watu wakamshangaa, maana kijijini kwao ni chakula ya mbuzi tu.
 
Diva endeleza mtungo mama yule mwanasiasa kijana alishapita najua chapa lapa mama haina milage hiyoooo.
 
Huyu kuna mahali aliandika akimwita majina yote hapa duniani huyu jamaa. Leo anamponda! Nimesahau ni wapi, ningekopi
 
Huyu diva naye anataka mapenzi ya kwenye tv ya maua amekua nyuki.
 
Mpaka umri huo bado anataka mapenzi ya kupelekewa maua...aisee naona umeona noma kutaja pesa maana anajisemega yeye ni mtafutaji pia mshua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…