Diva: Hakuna mtangazaji mwenye ushawishi kushinda mimi

Diva: Hakuna mtangazaji mwenye ushawishi kushinda mimi

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake wenye kuwababaisha watu maarufu wengi ikiwemo hata vigogo wa mjengoni pale Dodoma.

Diva Malinzi amefunguka kupitia insta story ya Instagram yake kwamba yeye ndie very expensive mtangazaji na mwenye ushawishi mkubwa kuliko mtangazaji yoyote hapa nchini.
 
Mwadada mwenye mvuto wa aina yake wenye kuwababaisha watu maarufu wengi ikiwemo hata vigogo wa mjengoni pale Dodoma diva malinzi amefunguka kupitia insta story ya Instagram yake kwamba yeye ndie very expensive mtangazaji na mwenye ushawishi mkubwa kuliko mtangazaji yoyote hapa nchini.
Hulka na tabia ya SIFA ni KUSIFIWA sio KUJISIFIA

Jr[emoji769]
 
Kila mla mchuma janga?
Kamponza babaake,siku mzee katoka kaweka picha gari mpya na dola kibao mtandaoni.
Haya serikali imekata rufaa,mzee anarudi kwenye kesi.
Mtangazaji akili kisoda.

Jr[emoji769]
 
.
IMG-20200216-WA0054.jpeg


Jr[emoji769]
 
Juma lukole Wewe ndo huko studio nn saivi. Umeanza sasa kufungua jarada la umbeya na dida
 
Back
Top Bottom