Diva: Hakuna mtangazaji mwenye ushawishi kushinda mimi

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake wenye kuwababaisha watu maarufu wengi ikiwemo hata vigogo wa mjengoni pale Dodoma.

Diva Malinzi amefunguka kupitia insta story ya Instagram yake kwamba yeye ndie very expensive mtangazaji na mwenye ushawishi mkubwa kuliko mtangazaji yoyote hapa nchini.
 
Hulka na tabia ya SIFA ni KUSIFIWA sio KUJISIFIA

Jr[emoji769]
 
Kila mla mchuma janga?
Kamponza babaake,siku mzee katoka kaweka picha gari mpya na dola kibao mtandaoni.
Haya serikali imekata rufaa,mzee anarudi kwenye kesi.
Mtangazaji akili kisoda.

Jr[emoji769]
 
Juma lukole Wewe ndo huko studio nn saivi. Umeanza sasa kufungua jarada la umbeya na dida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…