Diva heshima na adabu vimekuondoa cloids change

Tatizo la Pdidy yuko kule mitaa ya ungalimited
kwahiyo muda wote yuko macho kuangalia wanaopitisha mizigo
inabidi wakati mwingi asamehewe tu.

Pdidy uwe unatulia kwanza ili uandike vizuri unakuwa kama vile mtoto wa chekechea
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi nimekuelewa...ili Diva aweze kujifunza inabidi apate mme .aolewe najitu lenye miraba minne...
 
Nadhani simu anayotumia pia ni tatizo kwake, bila shaka unatumia smartphne ya soft touch ambayo bado inakusumbua katika kuandika ujumbe!
 
Pdidy hebu jibu kwanini unaandika vitu havieleweki? Huyu mimi naona kama anafanya makusudi kuzuga tu. Ila yeye ndio ana jibu sahihi.
 
Pdidy hebu jibu kwanini unaandika vitu havieleweki? Huyu mimi naona kama anafanya makusudi kuzuga tu. Ila yeye ndio ana jibu sahihi.

Labda yuko bize sana kama dereva wa tax wa JNIA
 
Usicho elewa ni nini kile kipindi cha Diva na picha zake huko kwenye blogs zinaonyesha alivyokwenda ndivyo sivyo.
Anapewa ushauri kubadilika.
Ni vema wote tutulie na kumuombea na kupata sycologist kumsaidia I can help her in that. Awe a good girl once again.Bravo clouds for the move. KIBONDE NA WENGINE MJIPANGE.
 
Kumuelewa Pdidy inahitaji moyo na akili ya chuma

Kwa mwalim km mimi sipati shida kumuelewa, nshaufaham uandishi wake.

Anatumia simu touch screen, then harudii kuangalia km kaandika sawa.
Ndo matokeo yake haya, inabidi u edit posts zake wewe unaezisoma
 
Last edited by a moderator:
Mnajiulza maswali mnajijib wenyewe Pdidy yupo bize na Rap! Dawa ya yake ndogo tu ! Akiandika u2mbo hakuna kucoment
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…