m500 kulipia nn! hicho alichonacho hata mbwa anacho sema tu ya mbwa haufunikwi.
huwez hata siku moja kuji value mwili wako kwa hela.me value yangu huwez hata kuisema.ila sishangai wasichana weng hua mnamawazo hayo.wakat watu tunajitahd ktoa fikra za mahal kama kuuza nyie wasom ka bisa wamjin mntuangusha.mwil wa binadamu hauna value in terms of money.mil mia tano kwako n kubwa kwa mwingine n hela ya vocha.acha mawazo ya kikolon dada yangu
Huyu dada sauti yake anavyojifoji unaweza ukajua anasura kama huyo dada aliyekuwepo kwenye Avatar ya Preta. Kumbe sura yake kama M. U. G. A. B. E.
Amesema maneno hayo kwenye kipindi chake cha hala za roho.