DIVA LOVENESS LOVE: Atakayenioa mahali siyo chini ya milioni 500

Status
Not open for further replies.

mawazo ya kikoloni wakati wazee wetu wameoana kwa mahari na mpaka sasa system bado ipo.
Kumbe unajua kama jero inaweza kuwa kubwa kwako kwa mwingne ndogo hivyo hata diva inawezekana hiyo m500 kwake ni pesa ya kawaida kabisa. Watu waache kuchonga..
 
nlshawai kusema pale claus akuna watangazaje' ukiwa na saut nyororo wakupa kaz!..uyu pnt hamnazo! Me ata anitongoze cmtak
 
Huyu dada sauti yake anavyojifoji unaweza ukajua anasura kama huyo dada aliyekuwepo kwenye Avatar ya Preta. Kumbe sura yake kama M. U. G. A. B. E.
 
Huyu dada sauti yake anavyojifoji unaweza ukajua anasura kama huyo dada aliyekuwepo kwenye Avatar ya Preta. Kumbe sura yake kama M. U. G. A. B. E.


Bologna umenena vyema.
kwanza ukiliangalia kwa Karibu na mirangi yake ya ukili ile aliyojipaka usoni yaani kama linataka kufanana na Steve Wasira...

Nilipata kukutana nalo likiwa limetoka kuamka yaani domo lake linanuka balaa.
Miudenda imemchuruzika shavuni halafu imeganda.
Matongotongo mpaka akawa na chongo jicho moja.
Yaani lilikuwa kama zezeta then likawa linatembea huku linajikuna masaburi yaani aaagh...
 
Amesema maneno hayo kwenye kipindi chake cha hala za roho.

Kuna Great Thinker m1 alishauri labda 2muulize Mo Racka je yaliomo yamo mule na kwnn alimmwaga au yaliomo yaliisha.Nafikiri hili ni wazo zuri manake 2tapata pa kuanzia.
 

Attachments

  • DSC01621.JPG
    22.5 KB · Views: 126
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…