Diva: Natamani sana kutoka kimapenzi na Ali Kiba

Si alisema hawezi kutoka na mwanaume asiyejua kiingereza, Kiba kakijua lini? Unga ni hatari. Mayb kama anazo pesa lakini kingine kinachompa jeuri huyu ni nini sijui
 
ukitaka kujua kuwa wanawake huwa ni wanafiki ebu angalia hii clip wakati Diva alipohojiwa kuhusu anavyomchukulia Alikiba ilikuwa 23/04/2015....aisee
Hii ilikuwa kabla King hajawa King!
Hapa naona King alikuwa hajui kupaka poda ndio maana bishosti akampa vya mbavuni.
 
Kiba kula mzigo huo!
Angekuwa Made in Tanzania (Diamond) wa enzi zile....hii ingebaki kuwa story!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bwana wake sijui kapokeaje haya mawazo ya huyu dada[emoji57] ndo maana nasemaga hawa viumbe akili zao ni ZERO
 
Anatamani apande lile x5 hana lolote
 
Hawa ndo wanadanganya dada zetu kitaa. Umri unaenda analeta maishuzi. Naona ajuza anatafuta kiki
 
Sasa demu wako anaanzaje kusema anatamani kudate mtu fulani naww umetulia tu....kuna watu wajinga sn
 
Hivi diva siku hizi anafanya kazi wapi? Maana simsikii tena kwenye ala za roho yapata mwezi mmoja sasa. Nasikia wasanii tu wanatangaza. Au ndio mwezi wa mapenzi Mubashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…