Diva the Bawse asimamishwa kazi Clouds Media

Watu wanaoandika wanachanganya kiswahili na kingereza huwa wananipa tabu sana. Kwanini mtu usiandike lugha moja ieleweke.
 
Acha uzwazwa wewe, nyie ndio mnaofikiriaga nyie tu ndio mnaoweza kitu ukiondoka hatopatikana replacement. Kwenye dunia hii haikosekanagi replacement y kitu chochote.
Zwazwa ni wewe tena zuzu plus.
We're not talking abt the f*cking world here we talk about Tanzania.
.
Nani anaweza kuwa replacement ya Diva kwenye ala za roho angalau akamkaribia au akamzidi aliyeko kwenye industry na aliyeko nje?
Watu tunaandika facts unaniletea maneno ya kihuni mimi 😟
 
Alisema eti mahari yake ni 500m na mwanaume anayemgonga awe anaongea kiingereza sana na hela ya kutosha..sasa kumbe hata wa kariakoo wanajigongea bure pambaf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata umix lakini ueleweke....

"Im like afu nikawa like omg..."
Nini hicho kwa mfano.
Alafu ana fans.

Ukichanganya lugha unaonekana una kwenda na wakati. Kiukweli wako nyuma ya wakati...
 
Mbona na wewe upo kumtetea sana? Huo upimbi wake wa kudharau watu na kujiona yeye ni malaika ndo umemletea laana,

Usimtetee/ attention zako kwake usifikiri na wengine wako hivo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…