SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Habari.
Jana nimesikiliza kipindi cha Ala za Roho ambacho kinaendeshwa na Diva wa Clouds FM. Pamoja na yote aliyoyandaa lakini nilijiuliza sana kwa kile anachokiita Diva Charity kwa maana ya kuchangia watoto.
Binafsi sijawahi kusikia ameenda kwa watoto wahitaji na ametoa msaada kwa hao watoto ila yeye anakwambia changia watoto.
Issue ya ajabu mashabiki wake wakipiga simu anawakatia simu maana hawafuati utaratibu na bado haohao anawaomba michango tena kuanzia 2000. Nilifikiria mengi ila nikasema kweli ili uishi mjini ni akili na si vinginevyo.
Je ule msaada wa 15m ili akatibiwe yale mambo yake ndio inatafutwa au ni kweli anawasaidia hao watoto ambao hawajulikani?
Jana nimesikiliza kipindi cha Ala za Roho ambacho kinaendeshwa na Diva wa Clouds FM. Pamoja na yote aliyoyandaa lakini nilijiuliza sana kwa kile anachokiita Diva Charity kwa maana ya kuchangia watoto.
Binafsi sijawahi kusikia ameenda kwa watoto wahitaji na ametoa msaada kwa hao watoto ila yeye anakwambia changia watoto.
Issue ya ajabu mashabiki wake wakipiga simu anawakatia simu maana hawafuati utaratibu na bado haohao anawaomba michango tena kuanzia 2000. Nilifikiria mengi ila nikasema kweli ili uishi mjini ni akili na si vinginevyo.
Je ule msaada wa 15m ili akatibiwe yale mambo yake ndio inatafutwa au ni kweli anawasaidia hao watoto ambao hawajulikani?