Duh labda umpeleke chuo cha kujifunza mazingaumbwe.
hahaha! Mkuu kipo wapi hicho chuo nami nataka kwenda!!
jamani mdogo wangu kapata dv ya 37,sa sijui ndo kitu gani hiki,naumiza kichwa kama anaweza kwenda chuo chochote.
Duh labda umpeleke chuo cha kujifunza mazingaumbwe.
uyo ackate tamaa maAANA anaweza kuaply kwenye ualm cose nmeambiwa kuwa mwisho n dvtion 4 ya 39