cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Mgombea udiwani wa CHADEMA amevuruga ngome na nyumbani kwa mgombea ubunge wa Jimbo la Tarime vijijini Mwita Waitara, hapo ni kata ya jirani na kata ya Waitara, alikuwa anategemea jamii yake kumuunga mkono kumbe wameshtuka, wanasema arudi Ukonga
Hiki kijiji cha Nyansincha
Hiki kijiji cha Nyansincha