Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
Hawakuuziwa walipigwa kitu kizitoRIP
Fukayosi Ndio kule Washirika wa KKKT waliuziwa Viwanja?
Kifo chake kimetokana na kupaliwa Ubwabwa?Mh alinisaidia sana kupata shamba la Mananasi.
Namkumbuka sana Ally alikuwa akipenda ubwabwa wa Nazi.
RIP Mh Ally.
Ndiyo huko.RIP
Fukayosi Ndio kule Washirika wa KKKT waliuziwa Viwanja?
HahaaaaaMh alinisaidia sana kupata shamba la Mananasi.
Namkumbuka sana Ally alikuwa akipenda ubwabwa wa Nazi.
RIP Mh Ally.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mh alinisaidia sana kupata shamba la Mananasi.
Namkumbuka sana Ally alikuwa akipenda ubwabwa wa Nazi.
RIP Mh Ally.
Ni karibu na Msata kilingeni kilingeni kwa@Mshana JrRIP
Fukayosi Ndio kule Washirika wa KKKT waliuziwa Viwanja?
Nilikuwa najiuliza sana nani aliyewaingiza mkenge wale KKKT 😂Ni karibu na Msata kilingeni kilingeni kwa@Mshana Jr
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Aiseee, Fuka ntaenda Jumamosi.Bujibuji Simba Nyamaume tupe habari kamili au upo miono
Yaan uache Dar yote hii ukajenge Fukayosi?RIP
Fukayosi Ndio kule Washirika wa KKKT waliuziwa Viwanja?
Unafiki huu wa wanadamu!! Unaanza kuwapa pole watu ambao hawahusiani kabisa na marehemu halafu wana familia unaweka kama watu baki. Huku ni kujipendekeza. Anza na wana familia ndiyo wameathirika, hao ma-DC na matakataka wengine wana uchungu gani?Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo Mhe. Muharami Shabani Mkenge, Amepokea kwa Masikitiko Makubwa kifo Cha Diwani Kata ya Fukayosi Mhe Ally Ali Issa
Anatoa pole Kwa Mhe DC, Mkurugenzi Halmashauri Bagamoyo, Mwenyekiti CCM Wilaya, Mwenyekiti Wa Halmashauri Bagamoyo, Waheshimiwa Madiwani wote, Ndugu, familia na Marafiki wa Marehemu, Wananchi wa kata ya Fukayosi na wana Bagamoyo Kwa Ujumla kufuatia kifo Cha Diwani kata ya Fukayosi Mhe. Ally Ally Issa.
Hakika ni Pigo Kubwa kwa Wana Bagamoyo. Innalillahi wa Innailaihi Rojiun.
View attachment 2826495
Umejuaje kama mhe.mbunge amepokea hiyo taarifa Kwa masikitikoMbunge wa Jimbo la Bagamoyo Mhe. Muharami Shabani Mkenge, Amepokea kwa Masikitiko Makubwa kifo Cha Diwani Kata ya Fukayosi Mhe Ally Ali Issa
Anatoa pole Kwa Mhe DC, Mkurugenzi Halmashauri Bagamoyo, Mwenyekiti CCM Wilaya, Mwenyekiti Wa Halmashauri Bagamoyo, Waheshimiwa Madiwani wote, Ndugu, familia na Marafiki wa Marehemu, Wananchi wa kata ya Fukayosi na wana Bagamoyo Kwa Ujumla kufuatia kifo Cha Diwani kata ya Fukayosi Mhe. Ally Ally Issa.
Hakika ni Pigo Kubwa kwa Wana Bagamoyo. Innalillahi wa Innailaihi Rojiun.
View attachment 2826495
Labda ubwabwa wa Nazi mtamu sana.Kifo chake kimetokana na kupaliwa Ubwabwa?