Pre GE2025 Diwani Maganga: Bora nikose Udiwani kuliko Silaa kukosa Ubunge!

Pre GE2025 Diwani Maganga: Bora nikose Udiwani kuliko Silaa kukosa Ubunge!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kazi kwelikweli, uchawa unatumaliza!

====



Diwani kata ya Zingiziwa, Maige Maganga amewataka Viongozi na Wananchi wa Zingiziwa na Jimbo la Ukonga kwa ujumla kujivunia uongozi wa Mbunge wao, Mheshimiwa Jerry Silaa kutokana na maendeleo makubwa aliyoyaleta katika jimbo hilo tangu awe Mbunge.

Diwani Maige ameenda mbali zaidi na kusema yupo tayari yeye akose Udiwani uchaguzi ujao lakini hayupo tayari kushuhudia Jerry Silaa akikosa ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka huu.

“Nani kama Jerry Silaa? Nawaapia nipo tayari kuona nakosa udiwani kuliko kushuhudia Mheshimiwa Silaa anakosa Ubunge katika uchaguzi ujao” Maige Maganga, Diwani Zingiziwa.
 
Wakuu,

Kazi kwelikweli, uchawa unatumaliza!

====

View attachment 3222596

Diwani kata ya Zingiziwa, Maige Maganga amewataka Viongozi na Wananchi wa Zingiziwa na Jimbo la Ukonga kwa ujumla kujivunia uongozi wa Mbunge wao, Mheshimiwa Jerry Silaa kutokana na maendeleo makubwa aliyoyaleta katika jimbo hilo tangu awe Mbunge.

Diwani Maige ameenda mbali zaidi na kusema yupo tayari yeye akose Udiwani uchaguzi ujao lakini hayupo tayari kushuhudia Jerry Silaa akikosa ubunge katika uchaguzi ujao wa mwaka huu.

“Nani kama Jerry Silaa? Nawaapia nipo tayari kuona nakosa udiwani kuliko kushuhudia Mheshimiwa Silaa anakosa Ubunge katika uchaguzi ujao” Maige Maganga, Diwani Zingiziwa.
Hapo ni rushwa na ushirikina
 
Back
Top Bottom