Diwani wa Chadema Albert Msando amtetea wa CCM Rajab Nkya kortini


Mangi, hebu nambie nani kwenye Congress ya Marekani ambaye ni ana practice law wakati huo huo akiwa congressman au congresswoman?
 

dah! kumbe watu hawamtendei haki kiongozi wanapomshambulia alivyowanadi kina mramba!
 
Mfuatiliaji, am humbled. Kilichotokea kwa nionavyo mimi ni uonevu kwa Rajab Nkya kisa eti anatuhumiwa alimpigia kura Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai ambaye ni wa CDM. Hata kama alipiga ni haki yake na lazima iheshimiwe. Kuja kumuundia kesi sio sawa. Ni uonevu! Mambo kama haya tuyapinge bila kujali itikadi. Wapo watu wengi wanabambikiziwa kesi kwa sababu za kisiasa.
 

Being a CHADEMA councilor/ activist and at the same time being a full time legal practitioner who represents a broad range of clients does undercut your credibility.

Kama unataka kuwa mtetezi wa haki pasipo kuonekana mnafiki basi achana na huo udiwani. Fanya uwakili wako kwenye hivyo vimahakama vyenu na hakuna atakayekuhoji motives zako.
 

cdm wachunge sana wananchi wasijesema hii kutaji orodha ya mafisadi ni
njia ya kuwatafutia wanasheria wao ulaji (tenda)
 
cdm wachunge sana wananchi wasijesema hii kutaji orodha ya mafisadi ni
njia ya kuwatafutia wanasheria wao ulaji (tenda)

These CHADEMA lawyers are driven by mercenary motives. They will do anything for money and say anything to get elected.

Imekula kwetu hiyo. Msitegemee miujiza toka kwa hao watu. They could very well be worse than CCM.
 
Busara hii ingeingia ndani ya bunge letu, hasa kwa wabunge wa ccm, ingeleta mvuto na heshima kwa wananchi.
Kutetea Haki bila kujali ni Chama gani kimeleta hoja husika.
 

umeeleweka msando.
Kama unaamini hana kosa una haki ya kutetea.
 
Sifanyi chcochote kwa ajili ya fedha. Ingekuwa rahisi kufanya chochote kama ningegombea kupitia CCM! Kuwa diwani kwa tiketi ya CDM na bado kuendelea kuwa wakili ni vizuri ukajiuliza!

Kusema niache uwakili na kubaki diwani inaonyesha hujui unachoongelea. Sifa mojawapo ya Diwani kwa mujibu wa sheria ni kuwa na kipato halali. Sasa nikiacha kuwa wakili kipato halali napata wapi? Hilo hulioni!
 
Kusema niache uwakili na kubaki diwani inaonyesha hujui unachoongelea. Sifa mojawapo ya Diwani kwa mujibu wa sheria ni kuwa na kipato halali. Sasa nikiacha kuwa wakili kipato halali napata wapi? Hilo hulioni!

Heheheheheheeeee sasa nimekuelewa Bw. Msando. Mke na wana lazima wale. Asante kwa kuwa mkweli.
 
Ni kweli Nyani Ngabu lazima wale. Lakini watakula halali. Njaa ni kitu kibaya sana. Viongozi wengi wanageuza siasa kazi. Njia ya kupata kipato. Leo hii kwa posho ya 120,000 kwa mwezi unategemea mtu akiwekewa ofa mezani ili atoe tenda ataacha? Hizi 10% unafikiri ni nini? Njaa na tamaa!
 
Kwa hiyo mie kama ni mhandisi rostam akinipa kazi ya kihandisi nisifanye? Mie nitafanya sana
je kama mimi ni daktari na hao mafisadi wamekuja kwangu kwa ajili ya matibabu nifanyaje, nisiwatibu? is it not unethical,immoral and unproffesional
 
Wow kumbe Chadema sio wabaya kama mnavyowasema
 
mkuu msando usitudanganye hawa hata sisi law tunaijua na tunaifanyia kaz..eti unatetea haki?..naomba nikukumbushe the concept of techinicalities of law b4 the court of law haki inanunuliwa the more you hire a good advocate possibility ya ushindi wa kesi inakuwa kubwa sasa nenda kawadanganye ma laymen ktk kata yako na sio hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…