Diwani wa Ikanga kushtakiwa kwa kughushi nyaraka za gari na utapeli wa Ksh. 2.2 Milioni

Diwani wa Ikanga kushtakiwa kwa kughushi nyaraka za gari na utapeli wa Ksh. 2.2 Milioni

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Diwani wa Wadi ya Ikanga, Cyrus Kisavi Musyoka, anatarajiwa kufikishwa mahakamani Ijumaa kwa tuhuma za kughushi nyaraka za ununuzi wa gari ili kulaghai Bunge la Kaunti kiasi cha Ksh. 2.2 milioni.

Musyoka anadaiwa kuwasilisha stakabadhi za uongo za kurejeshewa fedha za ununuzi wa gari kwa lengo la kulaghai Bunge la Kaunti hiyo kumlipa kiasi hicho cha pesa.

Hata hivyo, baada ya malalamiko kutoka kwa Rose Kavithe Ngoima, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) ilipitia kesi hiyo na kupendekeza mashtaka dhidi ya MCA huyo, ambaye sasa anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kitui ili kujibu tuhuma hizo Ijumaa.

diwani kenya.png

=======================================


A Member of the County Assembly (MCA) of Kitui is set to be arraigned on Friday for allegedly forging vehicle documents to defraud the House of Ksh.2.2 million forgery.

Ikanga Ward MCA Cyrus Kisavi Musyoka is said to have presented false motor vehicle purchase reimbursement documents intending to dupe the County Assembly to pay him the aforementioned amount.

However, following a complaint by one Rose Kavithe Ngoima, the Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) recommended charges against the MCA and he is set to appear before Kitui Law Courts to take plea on Friday.

“The investigations indicate MCA Musyoka presented documents with the intention of defrauding the Kitui County Assembly of a sum of Ksh.2.2 million that was meant for the MCA motor vehicle purchase reimbursement,” stated the ODPP.

According to ODPP, the MCA is set to face five counts of conspiracy to commit a felony contrary, obtaining registration of a motor vehicle by false pretences and forgery of a valuation report contrary to the Penal Code.
Other charges include uttering false documents and making a false claim by a person involved in the Public Service contrary to sections 353 and 100 as read with 102 A of the Penal Code respectively.

Source: Sauce Kenya
 
Back
Top Bottom