dizain kama clouds wanachochea bifu la man fongo Vs mama wema Vs sholo mwamba...

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Jana niliona soudy na mwenzake yule nani sijui wana muhoji Fongo nikaskia anatajwa sholo mwamba km ndo alomtumia sms mama wema kwamba man fongo ana mtukana wakati wapo safarini to muleba kwa fiesta jamaa wakamdis sana sholo mwamba.na leo nafungua clouds tv namkuta man fongo yuko sijui na dada gani yule naona anatajwa tena sholo mwamba kwa mtindo ule ule.....sasa sijui ni kiki au ndo kuwagombanisha hawa vijana ili mmoja ashuke na mwingine apande? Ungese mtupu...!!
 
Wanampa airtime sana huyo fongo kulinganisha na shoro pia hao jamaa wana beef kwa maelezo ya fongo kwenye de weekchatshow
 
Hakuna bifu hapo,ila ukiona hivo kuna shoo inaandaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…