Dizaini DART wameanza kuchemka?

Dizaini DART wameanza kuchemka?

The Transporter

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
3,580
Reaction score
7,203
Salama wadau,

Niande kwenye hoja moja kwa moja
Mwanzoni wakati huu mradi wa mabasi yaendayo kasi unaanza hali ila ilikuwa safi kabisa,
Kwa maana mabasi yalikuwa mengi hata ukienda kituoni haukai sana na madriver walikuwa ni wastaarabu sana kuanzia kwenye kauli mpk uendeshaji.
Lakini sasa hivi mambo yamebadirika
Kwamfano ; kama Leo nilikuwa kariakoo nikasema nilikuwa na kwenda mitaa ya kinondoni haikuwa tabu sana kupata gari japo nilisubiria pale gerezani kama nusu hivi.
Ila tulipopanda hilo gari driver alikuwa anaendesha kama kapiga cha Arusha!
Kimbembe kikawa wakati nataka kurudi nimesubiria gari pale kituo cha manyanya jaribu lisaa lizima nikaamua nipande la lolote nalo ni shida nikaotea la kimara nikashuka magomeni usalama ili niunganishe pale napo nikakaa lisaa lizima na hata lilipokuja lilikuwa limejaa balaa bora hata ya daladala zetu za kawaida tu
 
uendeshaji wa yale magari ni shida saana.lazima ile kwao garama ni juu sana ukilinganisha na faida
 
Serikali walisema watakuwa wanafidia hasara ili mradi ujiendeshe, sasa imekuwaje ufeli?
 
Madereva wanapitisha abiria vituo mfano abiria wa fire walishushiwa magomeni na wa tip top walilazimika kushukia shekilango dereva anaharaka zaidi ya mwendo kasi wenyewe
 
Hizo changamoto wawe wanazifanyia kazi viongozi,madereva wa haya mabasi wanjisahau sana na wengi hawafuati taratibu.
 
Salama wadau,

Niande kwenye hoja moja kwa moja
Mwanzoni wakati huu mradi wa mabasi yaendayo kasi unaanza hali ila ilikuwa safi kabisa,
Kwa maana mabasi yalikuwa mengi hata ukienda kituoni haukai sana na madriver walikuwa ni wastaarabu sana kuanzia kwenye kauli mpk uendeshaji.
Lakini sasa hivi mambo yamebadirika
Kwamfano ; kama Leo nilikuwa kariakoo nikasema nilikuwa na kwenda mitaa ya kinondoni haikuwa tabu sana kupata gari japo nilisubiria pale gerezani kama nusu hivi.
Ila tulipopanda hilo gari driver alikuwa anaendesha kama kapiga cha Arusha!
Kimbembe kikawa wakati nataka kurudi nimesubiria gari pale kituo cha manyanya jaribu lisaa lizima nikaamua nipande la lolote nalo ni shida nikaotea la kimara nikashuka magomeni usalama ili niunganishe pale napo nikakaa lisaa lizima na hata lilipokuja lilikuwa limejaa balaa bora hata ya daladala zetu za kawaida tu

Alafu unakuta mabasi mengi yamepaki tuu kwenye yadi zao pale jangwani sielewi kuwa ni mabovu au laa. Nasiku za weekend ndio usisumbuke kabisa kusafiri kutumia haya mabasi utajuta maana yana kuwa machache mno. Nadhani kuna mambo hayajakaa sawa na wahusika wanatakiwa wayafanyie kazi.
 
Alafu unakuta mabasi mengi yamepaki tuu kwenye yadi zao pale jangwani sielewi kuwa ni mabovu au laa. Nasiku za weekend ndio usisumbuke kabisa kusafiri kutumia haya mabasi utajuta maana yana kuwa machache mno. Nadhani kuna mambo hayajakaa sawa na wahusika wanatakiwa wayafanyie kazi.
Mie siku hizi nimeshaghairi kabisa sitaki ujinga nachukua zangu tu DCM mambo yanakwenda
 
Back
Top Bottom