EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Hiyo sio mashine ya kufulia huwa ni dish washerNajiuliz kuhusu hizi modern desing za kisasa, ni kwa nini mashine za kufulia nguo wanaziweka jikoni?
Aisee nilikuwa sijui, dah ningeaibika bureee...Hiyo sio mashine ya kufulia huwa ni dish washer
Now you know mkuu.aisee nilikuwa sijui,dah ningehaibika bureee...
Na ndio design za kijanja hizo. Utamsikia anabana pua. Ooh najenga kumbe Hara Raman ya jiko haipoShusha madini bado tunasubiri.. ila picha mbili za mwisho hazionekani..
Hio ni tangu zamani kutokana na udogo wa nyumba. Kama nyumba ni kubwa kunakua na utility room mashine zinakaa huko.Najiuliz kuhusu hizi modern desing za kisasa, ni kwa nini mashine za kufulia nguo wanaziweka jikoni?
aisee nilikuwa sijui,dah ningehaibika bureee...
Iko wapi hapo?Najiuliz kuhusu hizi modern desing za kisasa, ni kwa nini mashine za kufulia nguo wanaziweka jikoni?
Naonaga tu kwenye design za majiko that why nikauliza..nikajibiwa na member #12Iko wapi hapo?
Wakuu nyumba yangu ina open kitchen, sasa katika harakati za kupika naona kabisa harufu inaweza fika Sebuleni. Nimewaza kuweka lile nyonya moshi la kisasa. ( Kitchen hood) sasa nauliza kama kuna ambayo yanapeleka moshi/ harufu nje maana mostly nayaona ni kama yana Unit tuu ya ndani na hakuna kitu kipo nje
Pia kuna hizi Ceiling Ventilator je zinaweza kuwa msaada??View attachment 1740586
View attachment 1740587
View attachment 1740588
View attachment 1740589
Hiyo ya pili, nimeikubali sana tu! 👌Leo nimekuja na design ya jikoni (kitchen design season I) kama unavyoweza kujionea kwenye hizi picha hapa chini.
Nitaendelea na season II, III, IV na kuendelea.
View attachment 1728526
View attachment 1728527
View attachment 1728528
View attachment 1728529