Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 261
Tuanzie hapaJamaa anasema ameacha kila mtu atafsiri anavyoweza hiyo ngoma.
Binafsi nilielewa kama ameidiss clouds fm
"Walikuja madogo wajanja na mapesa
Wakauliza mama ukivaaje unapendeza
Wakamuahidi ndizi, mawaridi na hariri
Lakini JASIRI rangi yake ya asili ilitesa"
"MANYOKA (waliohusishwa kusafirisha madawa na wamiliki wa Clouds) waliyavua magamba yao
Wapendeze ili waje waweze kupata fao
Walitanguliza vyeti na madaraka yao
WALIISHA KUFA TUKAWAZIKA na haraka zao (ref Albert)"
"Naziwaza features zote complete
Nilitazama sikuona DIVA (the bawse?) wa ku-compete
Bila ina ALA (za roho?) make-up za kisasa
Aliwaka sana.. mtoto Fulani konki"
Ni fasihi tu, unaweza kutafsiri vyovyote unavyoweza.
Ngoma mbona iko wazi mkuu. Ngoma mbona inamhusu Magufuli kabisa.Nimeisikiliza hii ngoma ya Dizasta Vina. Inaitwa Mwanajua....nimeskiliza zaidi ya mara 20 Lakini hadi leo sijaelewa hii fasihi jamaa alilenga kitu gani, Kuna anaefahamu?
Huyu Dizasta[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
#forgive me.
Daaaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Ngoma mbona iko wazi mkuu. Ngoma mbona inamhusu Magufuli kabisa.
Nilikuwa sijaisikiliza kabla, nilipoisikiliza kwa mara ya kwanza nilihisi Nyerere ila mwishoni nikahitimisha ni Magufuli.
Au sio [emoji23][emoji23]Ngoma mbona iko wazi mkuu. Ngoma mbona inamhusu Magufuli kabisa.
Nilikuwa sijaisikiliza kabla, nilipoisikiliza kwa mara ya kwanza nilihisi Nyerere ila mwishoni nikahitimisha ni Magufuli.
Hahahaha, mkuu kaskilize tena maana vile umejibu Kwa uhakika utadhani kweli ulielewaNgoma mbona iko wazi mkuu. Ngoma mbona inamhusu Magufuli kabisa.
Nilikuwa sijaisikiliza kabla, nilipoisikiliza kwa mara ya kwanza nilihisi Nyerere ila mwishoni nikahitimisha ni Magufuli.
Daah asee hii ngoma basi ukiiskiliza vizuri ni magufuli ....Hahahaha, mkuu kaskilize tena maana vile umejibu Kwa uhakika utadhani kweli ulielewa
Anyway, kiufupi ni kwamba nyimbo ya mwanajua imetoka Dec 27, 2020 na magufuri amefariki March 17, 2021
Kwahiyo hadi hapo utaona kuwa upo wrong
Hii nyimbo amemlenga RugeDaah asee hii ngoma basi ukiiskiliza vizuri ni magufuli ....
magufuli maana nasikia Hata ziara ya mwisho alifanyia kigoma
Ile Ngoma inamuelezea mwanajua enzi zake, Kwa kipindi kile inatoka Magufuli Alikuwa hai.Ngoma mbona iko wazi mkuu. Ngoma mbona inamhusu Magufuli kabisa.
Nilikuwa sijaisikiliza kabla, nilipoisikiliza kwa mara ya kwanza nilihisi Nyerere ila mwishoni nikahitimisha ni Magufuli.
Huyu jamaa alijua kutonyooshaHii nyimbo amemlenga Ruge
Kwa TanzaniJua huchomoza baharini(dar) na ziara yake ya mwisho(kuzama) ni kigoma (ziwa tanganyika) MWANAJUADaah asee hii ngoma basi ukiiskiliza vizuri ni magufuli ....
magufuli maana nasikia Hata ziara ya mwisho alifanyia kigoma
Hii ngoma haielewekiKwa TanzaniJua huchomoza baharini(dar) na ziara yake ya mwisho(kuzama) ni kigoma (ziwa tanganyika) MWANAJUA