Dizasta Vina na wimbo wake wa Diamond (Almasi) kuna kitu nyuma ya pazia?

Dizasta Vina na wimbo wake wa Diamond (Almasi) kuna kitu nyuma ya pazia?

GoPPiii.

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
1,792
Reaction score
3,075
Kuna wimbo mpya wa Dizasta Vina unaitwa 'Almasi' Wimbo umeshiba, kuanzia mdundo, vina, mtiririko wa mashairi n.k.

Mwimbaji ni kama anamuasa huyu Almasi juu ya maisha yake anayoishi ya anasa/starehe, kwamba awe mwangalifu juu ya future yake.

Ningependa kujua kama kuna kitu kati ya hawa jamaa wawili.

Natanguliza asante.
 
Nyimbo kali nimeipakua, jamaa napendaga anavyo flow unamsikia neno moja moja. Asante mkuu [emoji120]
Dizasta jamaaaa anajua sanaa, uandishi, story telling,vina na nyimbo zina harakati. Ukianza sikiliza ngoma zote za Hatia, kanisa, Masculinefemine, confession, Ndoa, kibabu etc. Utaona unyamaaa kwa huyu mwamba. Nashangaa juzi kati watu wana mlinganisha na rapcha .

Ngoja niitafute hiii najua kaweka mambo sawaa.
 
Kwa sisi mashabiki wake kindaki ndaki hii ngoja tunayo toka mwaka jana
Mwana anajua hadi anajua tena
Kusikiliza ntimbo zake hazichoshi ukisikiliza mstari mmoja anakushawishi kutaka kujua mstari unaofuata anasema nini
 
Kuna wimbo mpya wa Dizasta Vina unaitwa 'Almasi' Wimbo umeshiba, kuanzia mdundo, vina, mtiririko wa mashairi n.k.

Mwimbaji ni kama anamuasa huyu Almasi juu ya maisha yake anayoishi ya anasa/starehe, kwamba awe mwangalifu juu ya future yake.

Ningependa kujua kama kuna kitu kati ya hawa jamaa wawili.

Natanguliza asante.
Kwahiyo sisi ndo tuutafute huo wimbo!?

Kwani ilikuwa ni lazima kuanzisha uzi..!?
😅🤣😅
 
Kuna wimbo mpya wa Dizasta Vina unaitwa 'Almasi' Wimbo umeshiba, kuanzia mdundo, vina, mtiririko wa mashairi n.k.

Mwimbaji ni kama anamuasa huyu Almasi juu ya maisha yake anayoishi ya anasa/starehe, kwamba awe mwangalifu juu ya future yake.

Ningependa kujua kama kuna kitu kati ya hawa jamaa wawili.

Natanguliza asante.
Huu wimbo mbona sio mpya!!?

"Ni heri kuwa mwewe
Maana mwoga anajali kuwa uelewe
Kundi la watoto nyumba wanakupenda
Na wanaota siku moja waje kuwa kama wewe" D.Vina
 
Confusion of Mad Son, Mwanajua, Nyumba ndogo na Muscular Feminist ni Hatare nene. Ntaisikikiza na hiyo....
 
Hamna msanii humo. Ukitaka kujua hilo angalia washabiki zake
Niki wa pili Yani Roma humpendi,One,Unju,Sterio,Mawenge,NashZaiid mwisho ata Dizasta vina tena?

sasa ukitoa wasanii wa Weusi ni msanii yupi wa hip-hop wewe unamuelewa?
 
Back
Top Bottom