Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mother am sorry kwani mi ndo chanzo
Kilichofanya mpaka sister akatae kusoma bodi mwanzo mi niliona ni Utoto alipodai Kuwa ananiona kwenye ndoto niwe mkweli sister mashalaa kaumbika ula Kuwaza nipige au niache ni upuvambavu ye ni sister mi kaka yake ....
Andaa interview naye ya humu siku moja tujue mengi kumuhusu
Confessions of a mad father imetoka??Lycaon pictus
NilinunuaThe Verteller. Beats na Flow zinakufanya urelax kama unameditate hivi. Ngoja weekend ninunue hii. Nasubiri kwa hamu kusikiliza A Confession of a mad father, No body is Safe VI na hiyo aliyo mshirikisha Baraka Da Prince.
πππππππππβ β π₯π₯π₯
Daaah really ngoja tafanya hivo aiseeeAndaa interview naye ya humu siku moja tujue mengi kumuhusu
Imeshatoka ngoja nikuchekie hapa nahisi hivoConfessions of a mad father imetoka??
Imeshatoka ngoja nikuchekie hapa nahisi hivoConfessions of a mad father imetoka??
Tufanye hvyoDaaah really ngoja tafanya hivo aiseee
Wazo zuri mno ngoja niandae maswali ya kutosha
Mbuzi anafugwa na stamina huko makongombuzi
Anajua mnoooAmetisha sana humu...
Jamaa anajua sana jana nimemsikiliza kwenye pc nikapost sana kule selfika Ngoma yake ya mlemavu kalii sana