Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
kwikwikwikwi arifu acha hizo aisee....ana sosho netiweki kwa wapendwa wake.....sema jamaaa sijui kama kaoa huyo mtoto kampata nje ya ndoa....So what?
Anatafuta baba wa ubatizo au?
Thanks GOD baada ya kuzaliwa mtoto wa kiume mwenyewe katika familia yangu hatimaye mpenzi wangu amejifungua now mtoto wa KIUME.
Mpenzi?
Siyo wife?
Huyu jamaa anapenda unyamwezi wakati hata Tabora hajafika!
So what?
Anatafuta baba wa ubatizo au?
Mpenzi?
Siyo wife?
Ukishangaa ya Dj Choka utastaajabu ya Dr Slaa.
Huyu jamaa anapenda unyamwezi wakati hata Tabora hajafika!
wasichana bwana...unazaaje na jitu linalokaa kwao?
foolish....mtu gani huyu wa kumuweka humu
wasichana bwana...unazaaje na jitu linalokaa kwao?
Dah!!fasihi humgusa yeyote nimeamini hii kama inanihusu acha nami nikapange...hahhahhaha!!!!wasichana bwana...unazaaje na jitu linalokaa kwao?
hahahahaaa kapannge bwana kabla hujatia mtu mimba...Dah!!fasihi humgusa yeyote nimeamini hii kama inanihusu acha nami nikapange...hahhahhaha!!!!
ndo nani huyo Choka