DJ D-ommy anamzidi nini DJ Zero?

DJ D-ommy anamzidi nini DJ Zero?

princemikazo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
2,195
Reaction score
2,056
Home boy Omary Said aka DJ D-Ommy, Mr.Washawasha, The International DJ, Jitu nene kutoka Mjengoni Clouds FM the people's Station. Huyu chalii ana tuzo Mbili mkononi za kimataifa alizonyakua hadi sasa kama DJ bora barani Afrika.

Pia amekuwa akiburudisha Nje ya nchi kama South Afrika, Marekani, Nigeria na kwingineko Kwenye clubs na Tv na Radio shows kaa izo.

Yeye na DJ Zero aka Zigidi, DJ kiduara, Undisputed one wamekua wakikisanua kinyama Pale XXL kupitia session zao, All hands on decks na Ngoma za Town(DJ D-Ommy) Zero Effects na ngoma za Town
(DJ Zero).

Kilichonifanya niandike huu uzi ni kwanini D-Ommy ananyakua tuzo akati DJ zero hata kwenye Nominantions tu hayupo na naona wote ni wakali??

BTW niliwaza huenda Playlists za DJ Zero ambazo huwa zina ngoma kali tu(Hits) ndo kinachomwangusha compare to D-Ommy ambae hupiga ata zisizojulikana, kwenye Scratching pia Zero yuko Juu sana, Swali ni Why DJ D-Ommy and not DJ Zero??

Karibuni kwa maoni.
Ahsanteni
 
Connection brooo mda mwingine anaye fanikiwa kimaisha cyo mwenye elimu sana ila connection inaweza kukupatia michongo mingi zaidi, na vile unavyozidi kufaamiana na watu ndyo michongo inafunguka angalia Diamond so kwamba anajua kuimba sana hapana ila mipango na connection alizonazo ndzo zinampa michongo mingi kujuaana na watu inasaidia sana nawe pia ukiwa unajituma alafu kingine nani anaye kusimamia icho nacho kinamaana sana maana huwezi kujisimamia kwa kila kitu kuwa na Meneja hasa anayejielewa inasaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Connection brooo mda mwingine anaye fanikiwa kimaisha cyo mwenye elimu sana ila connection inaweza kukupatia michongo mingi zaidi, na vile unavyozidi kufaamiana na watu ndyo michongo inafunguka angalia Diamond so kwamba anajua kuimba sana hapana ila mipango na connection alizonazo ndzo zinampa michongo mingi kujuaana na watu inasaidia sana nawe pia ukiwa unajituma alafu kingine nani anaye kusimamia icho nacho kinamaana sana maana huwezi kujisimamia kwa kila kitu kuwa na Meneja hasa anayejielewa inasaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Very True
 
Kilichonifanya niandike huu uzi ni kwanini D-Ommy ananyakua tuzo akati DJ zero hata kwenye Nominantions tu hayupo
Kwenye tuzo hata DJ wa Diamond amechukua tuzo hizo za nje, je kungekuwa na tuzo za ndani(Tanzania) ushindani wa ma DJ ungekuwaje?
Connection brooo mda mwingine anaye fanikiwa kimaisha cyo mwenye elimu sana ila connection inaweza kukupatia michongo mingi zaidi,
Naona uko sahihi, kwa vigezo wala sioni tofauti yao sana, na inawezekana wako wengine bora zaidi nje ya hiyo radio.
 
Hao ni MaDJ wa nini sasa ama zile takataka wanazofanya kumix mix nyimbo??

Sasa kama wao ni MaDJ wakina David Guetta, na Dimitri Vegas, Timmy Trumpet Hardwell tuwaiteje.
Mkuu hawa watofautishe na hao kina Dj Snake,Dj Khaled,Maphorisa,Spinal, bali hawa ni wa redioni mbona nimeelezea kabisa hapo juu??Dah ama kweli wazungu njoo tu mtawale tena..!!
 
Mkuu hawa watofautishe na hao kina Dj Snake,Dj Khaled,Maphorisa,Spinal, bali hawa ni wa redioni mbona nimeelezea kabisa hapo juu??Dah ama kweli wazungu njoo tu mtawale tena..!!
Kwani umesema RDJ au DJ?

Kama unaongelea DJ mjomba pole sana....hapo kuna just an illusion of a DJ
 
Home boy Omary Said aka DJ D-Ommy, Mr.Washawasha, The International DJ, Jitu nene kutoka Mjengoni Clouds FM the people's Station. Huyu chalii ana tuzo Mbili mkononi za kimataifa alizonyakua hadi sasa kama DJ bora barani Afrika.

Pia amekuwa akiburudisha Nje ya nchi kama South Afrika, Marekani, Nigeria na kwingineko Kwenye clubs na Tv na Radio shows kaa izo.

Yeye na DJ Zero aka Zigidi, DJ kiduara, Undisputed one wamekua wakikisanua kinyama Pale XXL kupitia session zao, All hands on decks na Ngoma za Town(DJ D-Ommy) Zero Effects na ngoma za Town
(DJ Zero).

Kilichonifanya niandike huu uzi ni kwanini D-Ommy ananyakua tuzo akati DJ zero hata kwenye Nominantions tu hayupo na naona wote ni wakali??

BTW niliwaza huenda Playlists za DJ Zero ambazo huwa zina ngoma kali tu(Hits) ndo kinachomwangusha compare to D-Ommy ambae hupiga ata zisizojulikana, kwenye Scratching pia Zero yuko Juu sana, Swali ni Why DJ D-Ommy and not DJ Zero??

Karibuni kwa maoni.
Ahsanteni
Kwani John Terry anamzidi nini pawasa wa kilosa?
 
Back
Top Bottom