Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

Dj Fetty Wishes To Get Married Soon!!!

Ntakasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
1,428
Reaction score
456
Leo kwenye kipindi 'pendwa' cha mchana XXL(Clouds Fm) walikuwa wanazungumzia uwekaji wa malengo na ufanikishaji wake katika mwaka 2013 na umuhimu wake.....baada ya kuhoji watu mbalimbali ikiwemo wenyewe watangazaji ndipo mtangazaji huyu maarufu alipofunguka na kusema yeye alipanga kuolewa na kupata mtoto ndani ya huu mwaka lakini anaona kama lengo lake halijafanikiwa.....Hakusema kama ana mchumba au anatafuta but hili ndio lengo lake kubwa ambalo kwa sasa inabidi angojee mpaka 2014::::::
Namtakia kila la kheri Fetty The Best Na Inshaalah Mungu Atatimiza Lengo Lake!
 
all the best mdada fety. kupanga ni kuchagua.
 
yaani wazuri nao wanapigwa chenga kuolewa,duh
 
Kinapendwa kweli kweli.....live with that fact!

labda utuambie research uliifanya lini
resaerch methodology uliyotumia
the whole population or a sample?if a sample,which sampling technique?
ukijibu hayo maswali uje kuongea na mimi na sio ku-generalize mambo.
 
Si alisemaga hana kaboifrend au nilisikia vibaya?Au mechi za ugenini pia sio issu sana.
 
labda utuambie research uliifanya lini
resaerch methodology uliyotumia
the whole population or a sample?if a sample,which sampling technique?
ukijibu hayo maswali uje kuongea na mimi na sio ku-generalize mambo.

HaaaHaaaa........Chuki ni ugonjwa aiseeee......ooooohlala....some ishhhhhh!
 
HaaaHaaaa........Chuki ni ugonjwa aiseeee......ooooohlala....some ishhhhhh!

unaumwa wewe,badala ujibu maswali yangu unaleta taarab,au hukuelewa nilichoandika,well,save your breath you are not on my level.
 
unaumwa wewe,badala ujibu maswali yangu unaleta taarab,au hukuelewa nilichoandika,well,save your breath you are not on my level.

Haaahaaaa......people who think are superior than others in terms of WEALTH or EDUCATION are totally inferior....Dear,you are not well.......what a pity!
GET WELL SOON!
 
Dear Ones,
Nisaidien kitu kimoja.......Clouds Fm iliwafanya nini wanaJF?....
Mi ni msikilizaji wa RADIO kama wengine and i find their station very entertaining.....and i bet most of people do....Soooooo guys.....Nipeni STRONG REASON ya ku-play HATER kwa CLOUDS FM na presenters wake...

XoXo
Ntakasi Wa Nkasi!!!
 
Back
Top Bottom