Yule mtangazaji na dj mahiri wa kike wa kipindi cha XXL kinachorushwa na kituo cha redio a watu cloud's Fm amekua kimya mda mrefu sana sijamsikia akitangaza, je ameshasepa hapo mjengoni na kama kasepa kahamia redio gani na sababu gani imemfanya aondoke pale? Na mbona hiyo redio watangazaji wengi wanaondoka pale kunani cku hizi mjengoni? Nawasilisha
Yule mtangazaji na dj mahiri wa kike wa kipindi cha XXL kinachorushwa na kituo cha redio a watu cloud's Fm amekua kimya mda mrefu sana sijamsikia akitangaza, je ameshasepa hapo mjengoni na kama kasepa kahamia redio gani na sababu gani imemfanya aondoke pale? Na mbona hiyo redio watangazaji wengi wanaondoka pale kunani cku hizi mjengoni? Nawasilisha
Nasikia kasepa...,
Hata mchomvu hana mda mrefu cloudz atasepeshwa na ruge maana kazidisha pumba ndo maana huwa some tym anachelewa saanaa kwenye xxl