Dj Khaled anastahili "Badge of honor" hii "GOD DID" na kazi zake nyingine ni za kipekee sana

Dj Khaled anastahili "Badge of honor" hii "GOD DID" na kazi zake nyingine ni za kipekee sana

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Kiukweli DJ Khaled ni kati wa wadau wachache wa mziki wa rap wanaoitendea haki hii tasnia. Kama wewe ni mpenzi wa rap ile style ya miaka ya 90s hadi early 2000s basi utakubaliana na mimi.

Jamaa huwa anatufungashia sauti za legends wa rap zinazotoa mashairi yenye vina vilivyopangiliwa kwa ubunifu wa hali ya juu pamoja na maudhui ya yasioburudisha tu bali kutia moyo na kuongeza ujasiri.

Rap za 90s hadi early 2000s zina maudhui tofauti sana na wasanii wapya wa siku hz. Dj Khaled anakuchanganyia legends kama JAY Z, Rick ross, lil wayne, NAS etc... kwenye ngoma zake na akitoa ni inakua bang kweli kweli.

Yote kwa yote hii album yake mpya ya 'GOD DID' katupa heshima mashabiki wa mziki wa rap. Hasa hasa kwenye ngoma ilobeba jina la album 'God Did' ambapo katuletea JAY Z, Rick Ross na Lil wayne, mistari kwenye hio ngoma ni balaa, kwa waloisikiliza watashuhudia hilo

Huwa nafikiria kwa nn na hapa africa, specifically Tanzania asitokee Dj au Producer mmoja afanye kama dj khaled. Tuna veterans wengi wa muziki wa rap ambao bado mashabiki tuna hamu ya kuwasikia kama vile Mr Blue, John makin, Darassa, na wengine wengi...


#weTheBest
#theyPlayThemselves
#God_Did
 
DJ Choka alijaribisha. Alishindwa. Nyimbo kama Pamoja we Can, Press Play, ,,, etc
Inahitaji nguvu zaidi na uthubutu, mtu kama Rj The Dj (Rommy Johns) akiwekeza kwenye hii ataweza fanikisha coz ushawishi anao na pia ni mdau wa wcb, lakin naona siku hz kawa muigizaji wa maigizo ya azam
 
Inahitaji nguvu zaidi na uthubutu, mtu kama Rj The Dj (Rommy Johns) akiwekeza kwenye hii ataweza fanikisha coz ushawishi anao na pia ni mdau wa wcb, lakin naona siku hz kawa muigizaji wa maigizo ya azam
Yeah yule anaweza.

Au akitokea Presenter mkubwa kama Ommy Crazzy
 
Kuna kipindi nilikuwa nakula manzi m1 from NY so tuko magetoni nkawa naplay nyimbo ya dj khaleed akamdiss akawa anasema huyu jamaa ana mashauzi sana.
Kumbe jamaa zile tambo zake mpaka raia wenzie wanamdiss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kipindi nilikuwa nakula manzi m1 from NY so tuko magetoni nkawa naplay nyimbo ya dj khaleed akamdiss akawa anasema huyu jamaa ana mashauzi sana.
Kumbe jamaa zile tambo zake mpaka raia wenzie wanamdiss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mtu wa chuki za ovyo lazima am-dis Dj Khaled. Em fikiria tu mfano jamaa angekua ni m-bongo angekua na haters wangapi? ukizingatia huku umasikini umetufanya kuwa na chuki za ovyo ovyo tu yan bila sababu za maana
 
Back
Top Bottom