Show off hii ni too much mkuusasa hizi ndio show off...hawa wasanii wetu mnawapakazia tu....eti oh wanapenda show off....
Dj khaleed anadai madokta walimhakikishia kila kitu kipo sawa so wakampa go ahead ya kufanya yakeImenikumbusha miaka ya nyuma kidogo kuna dada mmoja aliitwa Jordan alifanya kufuru Kama hii, mtoto akatoka ila mlemavu wa macho. We dj, Mungu yupo.
he the best for sureDo you Mind We The Best
Wabongo hatujazoea kuona live show za kuzaaKwani ni vipi jamani! Mbona taharuki.
kinapenda mauzo sana hata kwa issue zisizo na maanaDaaa kibonge hiki
Youtube ishatupiwa tayariLet us see each and everything.
Tuone kila kitu na aweke youtube.
asijaribu coz wabongo watatoa povu mpaka limwagikeNamsubiri Simbaaa nae afanye yake
Hahahhahaaa mkuu umewaza mbali ila ndo ukweli wenyewe huoMungu atuepushilie mbali na wasanii wetu kuiga kwa maana tutaona vitu vya tofauti sana...unamuona mtu mweupe usoni ukiona video kumbe upapa mweusiii-two different colour one people.
Nimecheka sana. Huyu jamaa wa say my name ana mikogo kwa mademu sana.
Sasa hivi baby boy ndo atakuwa anaambiwa say my title son dogo akisema dad basi anamtunuku dollar kadhaaNimecheka sana. Huyu jamaa wa say my name ana mikogo kwa mademu sana.
kila mwanaume anamzuka na mtoto wa kwanza especially akiwa wa kiume ila huyu jamaa mzuka wake umepitilizaMzuka wa Mtoto wa Kwanza.
Damn. Youu can stay up!Shorty what you want? Shorty what you need?
My niggas run the game, we ain't ever leavin'
Countin' up this money, we ain't never sleepin'
You got V12, I got 12V
Got bottles, got weed, got molly
I'm all the way up
Shorty what you want? I got what you need
Shorty what you want? I got what you need
Shorty what you want? I got what you need
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wallah nimecheka sana.Mungu atuepushilie mbali na wasanii wetu kuiga kwa maana tutaona vitu vya tofauti sana...unamuona mtu mweupe usoni ukiona video kumbe upapa mweusiii-two different colour one people.