hahahaaaah! sasa mzee we c ndo taahira kabisa? kama kitu kidogo kama hicho kinakufua namna hiyo, utaweza mambo complicated? afu cha kushangaza unaelekezwa na bado huelewi... kweli kuishi na wazee km hawa kazi kwelikweliwe dogo ni punguani wa head
hahahaaaah! sasa mzee we c ndo taahira kabisa? kama kitu kidogo kama hicho kinakufua namna hiyo, utaweza mambo complicated? afu cha kushangaza unaelekezwa na bado huelewi... kweli kuishi na wazee km hawa kazi kwelikweli
wapo wa kutosha ila ni waelewa sana, kama kitu hawakijui watahangaika kwanza wao wenyewe kwa ukubwa walionao wakishindwa wanaomba usaidizi tena kwa kusema, nimefatilia nmekwama hapa.. hapo hata dogo langu la chekechea linamjib kiustaarabu... ila km kichwan empty lazima apuuzweinaonekana huna wakubwa kwenu
Huyu ni mtu wa fursa tu, kwa hapa Bongo namfananisha na underground mmoja anajiita DJ Ommy Jones....hawana issue yaani ni jina tu na kutembelea nyota za watu.Wakuu
Katika vitu visivielewi ni pamoja na uimbaji wa msanii huyu wa Marekani anayejiita Dj Khalid
Kila nyimbo aliyomo utaambiwa ni wimbo wake kamshirikisha msanii furani
Anachokiimba sasa kwenye huo wimbo wake ahahah ni kituko, nyimbo nzima yeye atasikika mwanzo akisema "Dj Khalid.. Another one" na mwisho humalizia hivyo hivyo hapo anakuwa amemaliza
Dj Khalid! another one
Umemsahau ni DJ Snake
David Guetta