Dj Khalid anaimba vitu gani, kila wimbo kashirikishwa

we dogo ni punguani wa head
hahahaaaah! sasa mzee we c ndo taahira kabisa? kama kitu kidogo kama hicho kinakufua namna hiyo, utaweza mambo complicated? afu cha kushangaza unaelekezwa na bado huelewi... kweli kuishi na wazee km hawa kazi kwelikweli
 
inaonekana huna wakubwa kwenu
hahahaaaah! sasa mzee we c ndo taahira kabisa? kama kitu kidogo kama hicho kinakufua namna hiyo, utaweza mambo complicated? afu cha kushangaza unaelekezwa na bado huelewi... kweli kuishi na wazee km hawa kazi kwelikweli
 
inaonekana huna wakubwa kwenu
wapo wa kutosha ila ni waelewa sana, kama kitu hawakijui watahangaika kwanza wao wenyewe kwa ukubwa walionao wakishindwa wanaomba usaidizi tena kwa kusema, nimefatilia nmekwama hapa.. hapo hata dogo langu la chekechea linamjib kiustaarabu... ila km kichwan empty lazima apuuzwe
 
Huyu ni mtu wa fursa tu, kwa hapa Bongo namfananisha na underground mmoja anajiita DJ Ommy Jones....hawana issue yaani ni jina tu na kutembelea nyota za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…